UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

Jmani mjitokeze warembo wa 27+ tuwaoe msijifiche.
Sio kila ndoto inatimia. Hao tall dark handsome and rich ndio mlishawalosa. Tumebakia wakina mzabzab njooni tulipeane faraja
Waambie kaka. Wasitubague sisi wafupi, weusi, wenye vitambi na miondoko ya hovyohovyo. Sisi ndio wenye mapenzi ya kweli!

[emoji41][emoji41][emoji41]
 
mwenyewe mpango wangu nitakaporudi nchi ya kuzimu tz baada ya kuzikusanya huku nilipo ni kuoa single maza yenye mtoto mmoja tustarehe tuliwazane tuzeeke wote.
 
Nahitaji mke.
Vigezo 30+
binti wa Kichaga huyo, an mtoto mmoja.. vp nikuunganishe?
YB: 1996
Screenshot_20240213-135754.jpg
 
Back
Top Bottom