Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila nao walikuwa bega kwa bega na Lowassa katika kaziMsiba wa lowasa, hao wengine ht hatuna Muda SI mwenyewe umeona, mpk tar 17 ndo tunapumzika
Mimi ni mfupi, mweusi, nina kitambi na sura ni nzito kama uji wa magimbi. Mbaya zaidi, pesa sina. Sikufai binamu!Binamu nitume kwako au
Mwanamke mwenye 25-28 kuna fursa ya ndoa chap hapaNajua wengi wenu mlikuwa mna ndoto za kuolewa na wanaume wenye mali, matajiri na handsome men.
Lakini sasa huenda mmeishia kuwa single maza na umri umesonga mmekuwa wasimbe (27+) au mishangazi
Kumekuwa na ongezeko la single maza wenye 30+ humu jf wanaotafuta waume kwenye love connect huu ni ushahidi tosha.
Mnatamani sana ndoa na mwanamume yeyote ili mradi awasitiri. Bahati mbaya ambayo wengi mnakutana nayo mnaahidiwa ndoa mnaishiwa kupigwa mashine hamuolewi, poleni najua jinsi inawaumuza hiyo hali.
Soko lenu la kuolewa limekuwa gumu sana. Kwanza niwape pole, nimeamua kuandaa huu uzi ili mkutane na kufarijiana na kupeana mbinu za kuolewa au jinsi ya kuishi bila ndoa.
Na sisi wanaume tutakuwa bega kwa bega nanyi kuona tunawasaidiaje.
Mwaka huu tumewaongeza wanawake waliozaliwa 1997 kwenye kundi la wasimbe.
Kwa wale ambao ndoa imeshindikana au itashindikana kabisa nitawaletea uzi wenu maalumu utakaokuwa na heading single women association leo tuanze na walio frustrated kwa kutoolewa kwanza.
Asanteni sana, nawasilisha.
Habari ya uzima?Mkuu nimefungua uzi haraka nikajua unatugawia hao waoaji
hapana, Msimbe ni mwanamke alieachika/aliezalia nyumbaniMsimbe anamaanisha malaya mtu ambaye hana mume yaani hajawai olewa
Wewe ndio unanifaa binamu 😁😁 foleni haitakuwa kubwaMimi ni mfupi, mweusi, nina kitambi na sura ni nzito kama uji wa magimbi. Mbaya zaidi, pesa sina. Sikufai binamu!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yaan tuhudhulie harusi ya mtu anaeoinga katiba mpya .labda nitajie ukumbi namshikaji akate umemeNadhani kwasababu Lucas Mwashambwa kwenye nyuzi zake huwa anaweka namba za simu hawa madada wawe wanamcheki labda nae yuko single anataka mke. Mkielewana tutahudhuria harusi yenu huko Mbalizi.
27 ni shangazi huyoYaani miaka 27 ni msimbe?😂😂😂
Haya wasimbe mje huku mna uzi wenu huku.
Yaan kuZaliwa mwanamke Africa ni mteso,kila zigo anabebeshwa mwanamke tuMbona too much attack kwa wanawake.
Kutokuolewa kwao kunawasumbua nini wakuu.
Future Imposible Tense😂Upcoming msimbe😂😂soon
Kuna Uzi nliona umeniquote nautafuta sioni sijui mudiz wameutoa hewaniFuture Imposible Tense😂
Sidhani kama inapaswa kuwa hivi.Yaan kuZaliwa mwanamke Africa ni mteso,kila zigo anabebeshwa mwanamke tu
Acha kuingiza siasa kwenye maisha binafsi.Yaan tuhudhulie harusi ya mtu anaeoinga katiba mpya .labda nitajie ukumbi namshikaji akate umeme
Unaitwaje nikutafutieKuna Uzi nliona umeniquote nautafuta sioni sijui mudiz wameutoa hewani
Uzi; Member gn unamchukia jfUnaitwaje nikutafutie