Ngoja nikae hapa nje ya kumi na nane nisubirie mizagao kama asemavyo ally mayai tembele. Kuna mmoja atajichanganya tuu 🤣🤣🤣🤣🤣Hahahaa. Lol.
Haya bana Mzab. 🤝
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikae hapa nje ya kumi na nane nisubirie mizagao kama asemavyo ally mayai tembele. Kuna mmoja atajichanganya tuu 🤣🤣🤣🤣🤣Hahahaa. Lol.
Haya bana Mzab. 🤝
Kabisa Mzab ila ndio ikishatokea uishie kuoa sasa na sio mambo ya kula mb*susu na kusepa. 😀Ngoja nikae hapa nje ya kumi na nane nisubirie mizagao kama asemavyo ally mayai tembele. Kuna mmoja atajichanganya tuu 🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahahaha...wavumilivu na wasiriAisee, dada zetu mnapitia mengi.
Hahahahaha...ni madungayembe au manungayembe ?Wewe wafariji tu madungayembe
Jamani eeeeeeee😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣 kuanzia 40 huyo ni mbibi
Huo ni msimiati wa KIJITA ukiwa na maana ya mwanamke ambaye kafikisha umri wa kuolewa ama kavuka umri wa usichana lkn hajaolewa na pengine amezaa kabla ya kuolewa.Wasimbe maaana yake nini?
Itakuwa manungayembe 🤣🤣🤣Hahahahaha...ni madungayembe au manungayembe ?
HahahahahahahaItakuwa manungayembe 🤣🤣🤣
The opposite is trueYaan kuZaliwa mwanamke Africa ni mteso,kila zigo anabebeshwa mwanamke tu
Limit gani tena hiyo nimeweka jamani....mbona pm kwangu mlango guniaMbn umeweka limit ya mtu kukutumia text😔😔
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtaniua na kicheko aiseeWatakuja
Ok huyo ni msimbe
Unataka awe single maza au asiye na mtoto?
Atakayekidhi vigezo aje PM?
Kumpopoa mtoa mada🤠!
Kupeana miongozo...Kumpopoa mtoa mada🤠!
Ndiooooo ndioooooo!Kupeana miongozo...
Muongozo ni kuwaoa tu...Ndiooooo ndioooooo!
Toa miongozo prezidaaa akee wa miongozo 😛😘😘!!