Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ungekua na IQ kubwa ungekua unaishi Kwa shemeji Yako na kulala hapo sebuleni kwake?dogo Acha kujitia ujuaji
Kama Wewe unajua kuandika vizuri hapo ungehanya hanya?
Babaako=Baba Yako
Shwain
Unajitia ujuaji wakati zero IQ!
Hahah imeishaje hiiWhat??[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Hahaha hii noma
Sasa ulitaka na wewe uzijue ili zikusaidie nini mkuu??[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ila watu wa Jf akili zenu mnazijua wenyewe.. uzi gani huu Sasa[emoji849]?
Sina hakika sana maana niliacha kutumia JF kitambo kidogo nilihamia Tik tok kutafuta totoz.
Sasa baada ya kujichanganya na hao totoz vijukuu vya shetwaan utakuwa na pesa kweli za kufungia mwaka?Sina hakika sana maana niliacha kutumia JF kitambo kidogo nilihamia Tik tok kutafuta totoz.
We popoma tu maana umeanzisha uzi wa kiwaki sana 😃😃Popoma baba ako 😾😾😾
Kuna restaurant Dubai inaitwa Falla😂😂😂Mleta Uzi ni fala au siyo fala?
blocked.Wewe kaka sniper huwa nakuelewa sana mwenzio nikiona comment yako tu hoi.
Huu uzi ni kama memes tu yaan uzi wa vichekesho kabisa daah! watu nao hawajielewi yaan mtu anajijibu mwenyewe