Uzi wa kumtafuta Ex wake wasababisha mgogoro katika familia

Uzi wa kumtafuta Ex wake wasababisha mgogoro katika familia

Upo sawa mkuu...
Lakini wewe unapata faida gani ya kuja kumuandika x na ukamsifia hapa wakati haujui kwasasa anaishi maisha ya ainagani na nani na wapi??
Huwezi mzuia mtu kuexpress feelings zake
 
Mkuu, ebu vaa kiatu kwamba wewe ndio mume. Je ungeweza kulibeba hili?? Ama unataka kufurahisha tu watu hapa
Kibinadamu lazima utaumia kidogo lakini si kiasi cha kuitisha vikao. Huyo mke ana control gani kwa kile alichoandika huyo X?

Je kilichoandikwa kina ishara yeyote kuwa kilifanyika ikiwa huyo mke keshaolewa tayari? Na kuna baadhi ya mambo inabidi ukubaliane nayo pale tu unapogundua umeoa mwanamke ambae si bikra, maana ni wazi ana historia huyo unless aliitoa bikra na vidole.

Kitendo cha kuitisha vikao tayari anamdhalilisha mkewe. Hata kwa wale ambao hawakuona huo uzi washajua ni jinsi gani mkewe ni 'mtamu'. Hapo anahamasisha wakware watake kujaribu baina ya hao waliotwa kusuluhisha. Utastaajabu jinsi gani mizee mingine haina adabu.
 
Mkuu, ebu vaa kiatu kwamba wewe ndio mume. Je ungeweza kulibeba hili?? Ama unataka kufurahisha tu watu hapa
Elewa hayo yalifanyika kabla huenda hata hajafikilia kuwa atamuoa. Kwahiyo nakazia kabisa huyo jamaa ni fala.
 
Sasa huyo dada kosa lake ni lipi? Jamaa yake kazingua.
 
Member mtiifu kwa iyo tumlipe kwa kumchakatia wife ake?.yeye kama hajawahi kupiga madem wakati wa foolish age aseme.kama amewahi hao aliowapiga ndo wake zetu asiwe jinga wa past time
 
Halafu weekend hii wanaume walicharuka kuandika majina halisi na mahali mtu alikuwa Anaishi,Kama ule Uzi wa Anastasia sijui aneth,sio vizuri jamani mjifunze kuwa na nidhamu na Maisha ya wenzenu.
 
Sasa dada wa watu ana kosa gani ?
Hapa ndio tumemaliza usuluhishi.

Kimsingi dada yule hana kosa kwasasa, lakini jamaa aliekuja kuandika humu bila kutumia codes ndio kazingua.
 
Halafu weekend hii wanaume walicharuka kuandika majina halisi na mahali mtu alikuwa Anaishi,Kama ule Uzi wa Anastasia sijui aneth,sio vizuri jamani mjifunze kuwa na nidhamu na Maisha ya wenzenu.
Hii ni mbaya sana mkuu, maana mleta uzi hawezi jua huyo mwanamama kwasasa anaishi maisha ya aina gani.

Pia wakaka wanapswa kukubali kwamba maisha yanabadilika pale wanapo achana na x wao
 
Huyo jamaa yenu hana akili.

Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
 
😂😂😂😂 hatari
Mbona hujaniita 😂😂nilisema haya ni mapepo na majini yanywa damu yani tumeshaachana halafu ulete hizi shobo dundo,, ni kuleteana mikosi tu
 
Kibinadamu lazima utaumia kidogo lakini si kiasi cha kuitisha vikao. Huyo mke ana control gani kwa kile alichoandika huyo X? Je kilichoandikwa kina ishara yeyote kuwa kilifanyika ikiwa huyo mke keshaolewa tayari? Na kuna baadhi ya mambo inabidi ukubaliane nayo pale tu unapogundua umeoa mwanamke ambae si bikra, maana ni wazi ana historia huyo unless aliitoa bikra na vidole.

Kitendo cha kuitisha vikao tayari anamdhalilisha mkewe. Hata kwa wale ambao hawakuona huo uzi washajua ni jinsi gani mkewe ni 'mtamu'. Hapo anahamasisha wakware watake kujaribu baina ya hao waliotwa kusuluhisha. Utastaajabu jinsi gani mizee mingine haina adabu.
Dahhhh....
Noma sana yaani
 
Anakasirikaje na mambo yamefanyika kabla hajakutana nae!

Ana haki ya kulalamika endapo dem amempa utamu huyo x wake kipindi wako pamoja! Jamaa kazingua sana
 
Tumeisha tumeishaaa
Screenshot_20220405-151124~2.jpg
 
Back
Top Bottom