Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huna kapicha ukatupia tafadhaliKuna mdau aliandika uzi hapa akimtafuta x wake, na jmleta uzi ameandika kila kitu kwa uwazi pasipo kutumia code.
Huyo x wa mleta mada ameandika hadi utam aliokuwa akiuoata kwa kutoka kwa mwali "tena kamsifia sana". Kumbe yule mwali alisha olewa na jamaa ni member mtiifu hapa JF na ameuona ule uzi.
Hiyo nyumba moto umewaka na mwenye mke anaumizwa na kile "Mleta mada alicho sifia kwamba alikuwa anapewa". Mwali ameapa kwamba "nothing special yenye alimpa x wake" na jamaa kagoma hapa tupo kwa wazee tunasuluhisha.
Wakuu ebu tumieni hii mitandao pasipo kubomoa kwa wengine ona sasa leo huku panawaka na hapa mnachekelea.
I'm Done
Sikatai kuwa hawawezi kusaliti ila waliokengeuka ni asilimia ndogo mno tofauti na hawa wake ambao hatujawakuta wako sealedMkuu, kuoa bikra haikuhakikishii kwamba hauwezi salitiwa.
Na wapo walio oa bikraz na leo wanalia na kusaga meno kwajinsi mabikra wanavyo kunjwa huku mitaani...😜
Huyu ndo ex, kazuri zuri
Kweli jamaa lazima amkumbuke exNa hapo alikua ana huzuni sana na hasira nyingi
ningekujibu ila ngoja nikuache nisije nikaharibu swaum yangu bureNyie mtakuwa mashoga
sasa kwani mumekutana ma bikra ? si unajua kabisa umeoa/umeolewa na mzoefu ?Huyo Mwanaume wakukaa kutaka kujua uchafu wako wa nyuma ana moyo??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ampe tu venye alikua anampa x wake.
Mbona Mtume Mohammmed alikuwa bingwa wa kuoa wajane?View attachment 2176532
Yote yameanzia hapo
Mkuu siwezi kutoa majibu naheshimu Imani ya wenzanguMbona Mtume Mohammmed alikuwa bingwa wa kuoa wajane?
Nani amekuambia mimi siheshimu imani za wengine?Mkuu siwezi kutoa majibu naheshimu Imani ya wenzangu