Uzi wa kumtafuta Ex wake wasababisha mgogoro katika familia

Uzi wa kumtafuta Ex wake wasababisha mgogoro katika familia

Huyo Mwanaume wakukaa kutaka kujua uchafu wako wa nyuma ana moyo??
Mkuu, jamaa hakutaka kujua yalopita kuhusu mkewe.
Jamaa ni member hapa ndani na aliona uzi tu, kisha shida ikaanzia hapo.
 
Kuna mdau aliandika uzi hapa akimtafuta x wake, na jmleta uzi ameandika kila kitu kwa uwazi pasipo kutumia code.

Huyo x wa mleta mada ameandika hadi utam aliokuwa akiuoata kwa kutoka kwa mwali "tena kamsifia sana". Kumbe yule mwali alisha olewa na jamaa ni member mtiifu hapa JF na ameuona ule uzi.

Hiyo nyumba moto umewaka na mwenye mke anaumizwa na kile "Mleta mada alicho sifia kwamba alikuwa anapewa". Mwali ameapa kwamba "nothing special yenye alimpa x wake" na jamaa kagoma hapa tupo kwa wazee tunasuluhisha.

Wakuu ebu tumieni hii mitandao pasipo kubomoa kwa wengine ona sasa leo huku panawaka na hapa mnachekelea.

I'm Done
Mkuu huna kapicha ukatupia tafadhali
 
Mkuu, kuoa bikra haikuhakikishii kwamba hauwezi salitiwa.
Na wapo walio oa bikraz na leo wanalia na kusaga meno kwajinsi mabikra wanavyo kunjwa huku mitaani...😜
Sikatai kuwa hawawezi kusaliti ila waliokengeuka ni asilimia ndogo mno tofauti na hawa wake ambao hatujawakuta wako sealed
 
Mkuu huna kapicha ukatupia tafadhali
Naunga mkono hoja

images.jpg
 
mwenye link ya huo uzi ili tujue tunaanzia wapi kufuatilia huu mkasa
 
Back
Top Bottom