Uzi wa kumtafuta Ex wake wasababisha mgogoro katika familia

Uzi wa kumtafuta Ex wake wasababisha mgogoro katika familia

Mimi siamini. Narudia tena, siamini.

Ujinga umeanzia kwa mtoa mada kumsifia mwanamke aliyeachana naye. Kwanini ukumbuke kitu ukichokikataa awali? Angekuwa kweli ana mhitaji si angemwoa? Jinga lile.
Uzi wenyewe uko wapi?
 
huyo member mtiifu anafanya vitu vya kikorofi mbona..? mbaaafu kabisa.,Alafu mambo kumuanika x wako bila code huo nao ni u kolo.
 
Huyo member mtiifu naye hajielewi tu.

Sisi tuko kwenye ndoa na tunasimuliana habari za ma X zetu na maisha yanasonga sembuse mambo ya mtandaoni!

Kama angekuwa bado anakutumia hapo sawa...

Ila mambo ya kale?

Mwambie aache upuuzi
Cha kale hakinuki wivu na vilivyopita ???
 
Yule mmlengwa mke kasha liwa bwana kama nini achee kulia kaombwa aje jamii forum naameoa muda anapata wapi.
Na huyu ushimen anashida gani??
Eti mtu mtiifu hapa JF.
Ndio asome utamu....
Humu wote sawa tu .
Sawa .
Eti mko mnasuluhisha nini sasa mtu kaliwa kitambu mdau anasimulia tena kasema X wangu .
Mambo mengine muongee basi kwa kujua mnamaanisha nini??
 
Upo sahihi mkuu, maana hilu halijakukuta na pengine hapo ndipo mwisho na ukomo wa ufahamu wako.

Kwahyo Mkuu unaamini kwamba nikiona mtu anamsifia Ex wake ambaye ni mke wangu wa sasa humu natakiwa ku react kama huyo ndugu yako???? na unaona hio reaction kwa Mwanaume ni sahihi kabisa...

Yangekukuta wewe unge react the sama kama huyo mwamba kwa wife wako....??
 
Kwahyo Mkuu unaamini kwamba nikiona mtu anamsifia Ex wake ambaye ni mke wangu wa sasa humu natakiwa ku react kama huyo ndugu yako???? na unaona hio reaction kwa Mwanaume ni sahihi kabisa...

Yangekukuta wewe unge react the sama kama huyo mwamba kwa wife wako....??
Hayawezi nikuta ndiomaana nilisha kataaa kuoa...😜
 
Haijalishi ndugu kuoa bikra ni salama zaidi kuliko kuoa asiye bikra.
Kwanza unajiamini popote unapokwenda unajua kabisa kabisa hakuna makoloni
Chance za kusalitiwa ni asilimia ndogo sana kuliko asiye bikra
Hayo ndio matatizo ya kuchukua maneno nusu nusu .

Ukisoma mlango mzima wa 21 utaona kuwa hayo yalikuwa maelekezo kwa kuhani aoe mke wa namna gani.

Na sio mtu wa kawaida.
 
Huyo member mtiifu naye hajielewi tu.

Sisi tuko kwenye ndoa na tunasimuliana habari za ma X zetu na maisha yanasonga sembuse mambo ya mtandaoni!

Kama angekuwa bado anakutumia hapo sawa...

Ila mambo ya kale?

Mwambie aache upuuzi
Huyo Mwanaume wakukaa kutaka kujua uchafu wako wa nyuma ana moyo??
 
Na hapa ndipo hasa panapo muumiza jamaa, sidhani kama ni swala la ujinga ama werevu.

Wanaume wengi huwa hunawaza tu jinsi jamaa alivyokua anamkunja na venye alikua anapeana
Hizo hasira laZma jamaa aliandka kapewa haramu nini??
 
Haijalishi ndugu kuoa bikra ni salama zaidi kuliko kuoa asiye bikra.
Kwanza unajiamini popote unapokwenda unajua kabisa kabisa hakuna makoloni
Chance za kusalitiwa ni asilimia ndogo sana kuliko asiye bikra
Mkuu, kuoa bikra haikuhakikishii kwamba hauwezi salitiwa.
Na wapo walio oa bikraz na leo wanalia na kusaga meno kwajinsi mabikra wanavyo kunjwa huku mitaani...😜
 
Back
Top Bottom