Uzi wa kumtafuta Ex wake wasababisha mgogoro katika familia

Uzi wa kumtafuta Ex wake wasababisha mgogoro katika familia

Kama vip wapigane tu unaoa vip mwanamke ana ma-ex kibao kama sio kutafuta competition za ajabu mke wako alikuwa na maex 6 siju wanne achana nae sio wa kuoa kila kitu atakucompare na jamaa zake wa huko nyuma
 
Hii ni mbaya sana mkuu, maana mleta uzi hawezi jua huyo mwanamama kwasasa anaishi maisha ya ainagani.
Pia wakaka wanapswa kukubali kwamba maisha yanabadilika pale wanapo achana na x wao
Kabisa hawafanyi vizuri,huwa najihisi hivi siku nikijikut nimeandikwa humu nafanyaje?
 
Kama vip wapigane tu unaoa vip mwanamke ana ma-ex kibao kama sio kutafuta competition za ajabu mke wako alikuwa na maex 6 siju wanne achana nae sio wa kuoa kila kitu atakucompare na jamaa zake wa huko nyuma
Mkuu haya mambo usichukulie poa, ukweli ni kwamba hakuna mwanaume mjanja kwenye hili bali ni kwamaombi na uwezo wa Mungu tu
 
Ujinga tu,,, huyo mumewe achunguzwe.. huenda ana shida mahali...

Mwanaume huwezi kuleta vita kisa upuuzi kama huo,,, Ajikite kujenga taifa
 
Mkuu haya mambo usichukulie poa, ukweli ni kwamba hakuna mwanaume mjanja kwenye hili bali ni kwamaombi na uwezo wa Mungu tu
mkuu kuna mpenzi na mke unapotafuta mke uwe na jicho la mbali kufikiria mbali na analysis ya kutosha ukitaka kujua angalia watu wengi mijini wanaoa wanwake wa kawaida sana ni bora ni bikra na hajacheweza sana . Mwanamke akishazlishwa na mimi basi kwanza nawaona kawaida wote wako sawa

Mi mwanamke akiwa na maex kibao hata aweje siwezi kumtongoza
 
Mbona hujaniita 😂😂nilisema haya ni mapepo na majini yanywa damu yani tumeshaachana halafu ulete hizi shobo dundo,, ni kuleteana mikosi tu
🤣🤣🤣🤣🤣Nilicomment nikiwa busy..mambo yameahajua mengi humu wanandoa wameanza paraganyika kwa ujinga wa maex
 
mkuu kuna mpenzi na mke unapotafuta mke uwe na jicho la mbali kufikiria mbali na analysis ya kutosha ukitaka kujua angalia watu wengi mijini wanaoa wanwake wa kawaida sana ni bora ni bikra na hajacheweza sana . Mwanamke akishazlishwa na mimi basi kwanza nawaona kawaida wote wako sawa

Mi mwanamke akiwa na maex kibao hata aweje siwezi kumtongoza
Upo sahihi kabisa mkuu.
Let's say mdada hakua na mtoto, na kisha wakakutana na jamaa kwenye mazingira tulivu na kitaarabu kabisa.
Je huyu bwana atajuaje kama mwanamke yule amechezewa ama hajachezewa sana..??
 
🤣🤣🤣🤣🤣Nilicomment nikiwa busy..mambo yameahajua mengi humu wanandoa wameanza paraganyika kwa ujinga wa maex
Nikweli kabisa mkuu, yule mama ukweli hatujaona kosa lake. Lakini bwana kakomaa kwamba mkewe ameandikwa na njemba humu (jamaa anamtafuta na amemmiss na anamsifia hadi ametaja alipokua akiishi na alikua akiishi na nani) sasa jamaa amekasirishwa na nadhani anaumizwa na wivu zaidi.
Honestly hii sio issue ya kuwalaumu mke/mume, nadhani ni swala la kumlaumu huyu X kwa kitendo alicho kifanya na pia matumizi mabaya ya mitandao.
 
Ujinga tu,,, huyo mumewe achunguzwe.. huenda ana shida mahali...

Mwanaume huwezi kuleta vita kisa upuuzi kama huo,,, Ajikite kujenga taifa
Upo sahihi mkuu, maana hilu halijakukuta na pengine hapo ndipo mwisho na ukomo wa ufahamu wako.
 
Kuna mdau aliandika uzi hapa akimtafuta x wake, na jmleta uzi ameandika kila kitu kwa uwazi pasipo kutumia code.

Huyo x wa mleta mada ameandika hadi utam aliokuwa akiuoata kwa kutoka kwa mwali "tena kamsifia sana". Kumbe yule mwali alisha olewa na jamaa ni member mtiifu hapa JF na ameuona ule uzi.

Hiyo nyumba moto umewaka na mwenye mke anaumizwa na kile "Mleta mada alicho sifia kwamba alikuwa anapewa". Mwali ameapa kwamba "nothing special yenye alimpa x wake" na jamaa kagoma hapa tupo kwa wazee tunasuluhisha.

Wakuu ebu tumieni hii mitandao pasipo kubomoa kwa wengine ona sasa leo huku panawaka na hapa mnachekelea.

I'm Done.
☕☕☕☕
 
Halafu weekend hii wanaume walicharuka kuandika majina halisi na mahali mtu alikuwa Anaishi,Kama ule Uzi wa Anastasia sijui aneth,sio vizuri jamani mjifunze kuwa na nidhamu na Maisha ya wenzenu.
uzi wa annerose jamaa alifunguka kama muvi ya kihindi ha ha ha
 
Hajielewi mie na shem wenu tunasimulianaga habari za x wtu. Na kunakipindi tunawasifia alafu tunachekaaaa tunaendelea na life
 
Huyo mwanaume bado hajakua,je,yeye hajawahi chepuka na mwanamke kabla ya kuoa huyo mwanamke,...je hao alio lala nao kama wameolewa anafikiri aliyeoa kwa sasa angeanza uliza ulilala na wanaume wangapi maisha yangekuaje? Aache utoto...ukioa mwanamke sio bikra tambua yuko aliyeitoa...anza maisha tangu hapo mlipoonana na kupendana bila kuuliza yaliyopita.
 
Huyo member mtiifu naye hajielewi tu.

Sisi tuko kwenye ndoa na tunasimuliana habari za ma X zetu na maisha yanasonga sembuse mambo ya mtandaoni!

Kama angekuwa bado anakutumia hapo sawa...

Ila mambo ya kale?

Mwambie aache upuuzi

Nyie mtakuwa mashoga
 
Upo sahihi kabisa mkuu.
Let's say mdada hakua na mtoto, na kisha wakakutana na jamaa kwenye mazingira tulivu na kitaarabu kabisa.
Je huyu bwana atajuaje kama mwanamke yule amechezewa ama hajachezewa sana..??
Mwanamke utamjua tu tabia zake cha kwanza kama unataka awe mke kuna vitu utahitaji kujua mfano asili yake , je alikuwa na mpenzi mwanamke anaweza kuwa amezaa ila hajachezewa sana siku iyo anatolewa bikra ndo anapta mimba

Mwanamke unavyomdadisi utajua lazima aseme ni wajanja kuficha sana ila tabia zake itabidi ukae nae angalau mwaka then uchague
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ushimen nyuzi zako huwa nacheka sana,!
 
Back
Top Bottom