Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Ukikamatwa umeisha, unaacha pesa zako bank kwa miaka 10Blackmarket! Hiyo ni chap tu kama unaroho Ngomu lkn'... Mimi ninazo kama nne hivi nafanya huu ni mwaka wa tatu nafanya napeta... Uhakika wa kukunja mil 2 kama saving kwa mwezi ni uhakika! NB siwezi waambia ni biashara Gani hii never!!