Uzi wa kuwataja watu wa ovyo sana Mwaka 2022. Wajirekebishe

Kuna mwamba anajiita daudi mchambuzi,sijui anachambuaga nini? Maana sijawahi kuona uchambuzi wake kwa uzi wala kwenye comment section.
Anachamba Mbuzi. Ndo mchambuzi. Yaani mchamba mbuzi.
 
Una maoni gani pia kwa Watu ambao Kutwa na Makusudi huwa Wananichokoza, Wananidhihaki, Wananitukana na Wananichafua hapa JamiiForums ili niwajibu kwa Lugha yangu Kali kisha wakimbilie Kuniripoti na nipewe BAN ili iwe Sherehe Kwao?

Mkitana nibadjlike anzeni Kwanza kuacha kuwa Wapumbavu na Wanafiki kisha kakateni Rufaa kwa Mwenyezi Mungu kwanini alinibariki Mimi GENTAMYCINE na kuwa hivi Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer nilivyo na nyie kuwapeni Roho za Chuki na Wivu juu ya Umaarufu na Uwasilishaji wangu wa Kipekee hapa JamiiForums?

Kama mnadhani Kunitaja huku kwa Mabaya kutasaidia Kunichafua na huenda Kura zangu zipungue katika Majukwaa yanayoshindanishwa mmekosea mno kwani sijaanza Kupigiwa tu Kura nanyi Maadui zangu hapa bali hata Mwenyezi Mungu nae na Malaika wake wanatambua na wanapenda ninayoyawasilisha hapa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Huyo namba tatu ngoja aamke uoge matusi kwa kutumia ID mpya,jamaa nimekua nae oysterbay familia bora tatizo lake ni ufupi,ana urefu wa futi tano kamili so badhani unafahamu watu wafupi kujikweza
Una maoni gani pia kwa Watu ambao Kutwa na Makusudi huwa Wananichokoza, Wananidhihaki, Wananitukana na Wananichafua hapa JamiiForums ili niwajibu kwa Lugha yangu Kali kisha wakimbilie Kuniripoti na nipewe BAN ili iwe Sherehe Kwao?

Mkitana nibadjlike anzeni Kwanza kuacha kuwa Wapumbavu na Wanafiki kisha kakateni Rufaa kwa Mwenyezi Mungu kwanini alinibariki Mimi GENTAMYCINE na kuwa hivi Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer nilivyo na nyie kuwapeni Roho za Chuki na Wivu juu ya Umaarufu na Uwasilishaji wangu wa Kipekee hapa JamiiForums?

Kama mnadhani Kunitaja huku kwa Mabaya kutasaidia Kunichafua na huenda Kura zangu zipungue katika Majukwaa yanayoshindanishwa mmekosea mno kwani sijaanza Kupigiwa tu Kura nanyi Maadui zangu hapa bali hata Mwenyezi Mungu nae na Malaika wake wanatambua na wanapenda ninayoyawasilisha hapa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Watu wa hovyo ni viranja wa humu

Naona jana mmewawakia mpaka wakayatoa masnow

Kwenye zile kelele zenu nilikumbuka ambavyo mashabiki uchwara huwaka kwenye vibanda umiza pale tv au umeme unapozingua au muongoza kibanda anapotaka kufanya marekebisho hao watazanaji huwaka utazan wamepoteza kitu kikubwa sana kwa dakika moja na pesa waliyolipia ni jero tu lakin kelele zao sio za nchi hii
 
Genta.
 
Namba tatu si uandike GENTAMYCINE umezunguka sana ili iweje.
Una maoni gani pia kwa Watu ambao Kutwa na Makusudi huwa Wananichokoza, Wananidhihaki, Wananitukana na Wananichafua hapa JamiiForums ili niwajibu kwa Lugha yangu Kali kisha wakimbilie Kuniripoti na nipewe BAN ili iwe Sherehe Kwao?

Mkitana nibadjlike anzeni Kwanza kuacha kuwa Wapumbavu na Wanafiki kisha kakateni Rufaa kwa Mwenyezi Mungu kwanini alinibariki Mimi GENTAMYCINE na kuwa hivi Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer nilivyo na nyie kuwapeni Roho za Chuki na Wivu juu ya Umaarufu na Uwasilishaji wangu wa Kipekee hapa JamiiForums?

Kama mnadhani Kunitaja huku kwa Mabaya kutasaidia Kunichafua na huenda Kura zangu zipungue katika Majukwaa yanayoshindanishwa mmekosea mno kwani sijaanza Kupigiwa tu Kura nanyi Maadui zangu hapa bali hata Mwenyezi Mungu nae na Malaika wake wanatambua na wanapenda ninayoyawasilisha hapa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Watu wa hovyo ni viranja wa humu

Naona jana mmewawakia mpaka wakayatoa masnow

Kwenye zile kelele zenu nilikumbuka ambavyo mashabiki uchwara huwaka kwenye vibanda umiza pale tv au umeme unapozingua au muongoza kibanda anapotaka kufanya marekebisho hao watazanaji huwaka utazan wamepoteza kitu kikubwa sana kwa dakika moja na pesa waliyolipia ni jero tu lakin kelele zao sio za nchi hii
 
Naunga mkono hoja. Jamaa amemkosea sana GENTAMYCINE Nadhani chizi maarifa ni jitu la hovyo hovyo lililojaa wivu
Huwezi kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ukapendwa na Watu Wapumbavu, Waswahili na wenye Roho Mbaya zenye Chuki na Wivu kwakuwa Nakubalika na Maarufu Kuwazidi.

Ahsante Mungu kwa Baraka zako hizi.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nani anakuchafua wakati u mchafu tayari?
 
Ana ID kama 29,alivyo mjinga anabadili ID anasahau kubadili mwandiko
Una maoni gani pia kwa Watu ambao Kutwa na Makusudi huwa Wananichokoza, Wananidhihaki, Wananitukana na Wananichafua hapa JamiiForums ili niwajibu kwa Lugha yangu Kali kisha wakimbilie Kuniripoti na nipewe BAN ili iwe Sherehe Kwao?

Mkitana nibadjlike anzeni Kwanza kuacha kuwa Wapumbavu na Wanafiki kisha kakateni Rufaa kwa Mwenyezi Mungu kwanini alinibariki Mimi GENTAMYCINE na kuwa hivi Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer nilivyo na nyie kuwapeni Roho za Chuki na Wivu juu ya Umaarufu na Uwasilishaji wangu wa Kipekee hapa JamiiForums?

Kama mnadhani Kunitaja huku kwa Mabaya kutasaidia Kunichafua na huenda Kura zangu zipungue katika Majukwaa yanayoshindanishwa mmekosea mno kwani sijaanza Kupigiwa tu Kura nanyi Maadui zangu hapa bali hata Mwenyezi Mungu nae na Malaika wake wanatambua na wanapenda ninayoyawasilisha hapa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Labda familia bora kwako. Familia Bora huwa hawapati muda wa kujifunza matusi. Mi nafahamu.... Jamaa amejaa matusi tu kichwani mwake.
Huwezi kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ukapendwa na Watu Wapumbavu, Waswahili na wenye Roho Mbaya zenye Chuki na Wivu kwakuwa Nakubalika na Maarufu Kuwazidi.


Asante Mungu kwa Baraka zako hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…