Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alipigwa chai na maji ya Moto akasahau kama utumishi wapo hahhh

Hahaha, kama namuona Mkuu namna alivyokuwa anapata huduma nzuri huku roho inauma kwenye kuzilipia.
 
Hahaha, hivi lakini Mkuu wewe huwa unaimani kabisa kwamba ni kweli huwa wanasaisha karatasi moja moja?
Wale huwa wanasahisha ila wanafata majibu yao tu yani ukileta maelezo sijui nini hawaelewi kabisa wanachotaka kama hapa ni maembe andika maembe ukiandika sijui matunda wanakula kichwa tu
 
Morena wanalipa kwa dola hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo naona Hana uzoefu na interview za utumishi

Duh! Au jamaa itakuwa sio mwenzetu, ni wale wanaopitia Saili ili tu waonekane hawajavunja utaratibu wa ajira.

Maana kulipa kwa dola mara nyingi huwa ni maeneo yanayohitaji malipo makubwa.
 
Wale huwa wanasahisha ila wanafata majibu yao tu yani ukileta maelezo sijui nini hawaelewi kabisa wanachotaka kama hapa ni maembe andika maembe ukiandika sijui matunda wanakula kichwa tu

Duh! Sawa Mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh umefanya nicheke sana mkuu daaah unaziokoteaga wapi aiseeeh sio bei ipo juu sana?
Uhindini ,keko ,cda , chako ni chako , pestana nenda pale malaika pub karib na shabiby bus terminal au sogea rainbow ukishindwa basi nenda waswanu pub usipopata utakuwa ni bahili


Kuongezea
Mwanga bar
Maisha club


Usisahau kutumia dhana

Utumishi wamesabibisha sana mimi kutalii huu mji
 
Muda wenyewe wakujiandaa haupo yani ,sema fresh kesho kutwa mzigoni kama kawaida
Nishaanza kufukua madesa hapa.

Pepa ya juzi ilikuja General ndani ya professional huku mimi nilijiandaa kulingana na majukumu ya mwajiri, nilichokikuta ndani nikapigwa na butwaa.

Hivyo hivyo walioenda oral wanasema wanaulizwa mambo mengine hata job description haijagushwa.

Sasa hapa inabidi nijiandae kwa ujumla huku mambo ni mengi hatari.

Mrija wa Asali kuufikia sio kazi rahisi aisee..
 
Jamani yule wa lodge Dom mbona hapatikani tena kwenye simu?? Chitoholi
Mwenyewe nilimtafuta siku ya J3 akawa hapatikani baadae akawa anasema humu huenda alilala au alikuwa anabadili line.

Sijui anakwama wapi..
 
Uhindini ,keko ,cda , chako ni chako , pestana nenda pale malaika pub karib na shabiby bus terminal au sogea rainbow ukishindwa basi nenda waswanu pub usipopata utakuwa ni bahili


Kuongezea
Mwanga bar
Maisha club


Usisahau kutumia dhana

Utumishi wamesabibisha sana mimi kutalii huu mji
😂😂😂😂😂😂Mkuu umetalii sana mji wakiserikali hahhhh kuna mwamba jana kaingia na pisi kaiwashia Moto afu akasinzia kuja kuamuka imeondoka na wallet
 
Nishaanza kufukua madesa hapa.

Pepa ya juzi ilikuja General ndani ya professional huku mimi nilijiandaa kulingana na majukumu ya mwajiri, nilichokikuta ndani nikapigwa na butwaa.

Hivyo hivyo walioenda oral wanasema wanaulizwa mambo mengine hata job description haijagushwa.

Sasa hapa inabidi nijiandae kwa ujumla huku mambo ni mengi hatari.

Mrija wa Asali kuufikia sio kazi rahisi aisee..
duuuh wameuliza nini kwenye oral??au madesa ya darasani tu??
 
Mkuu, hizi gharama zake ni kiasi gani? Msaada tafadhali.
Huko zimechangamka mkuu.

Ukitaka ya 25k nenda barabara ya 10 kule mjini inaitwa Good Samaritan Lodge. Ina huduma nzuri ikiwemo Chai.

Pia kuna Guest inatwa Seja, ipo maeneo ya Msikiti wa Gaddaf, bei ni 12k na 10k sio self.

Kuhusu usafiri sasa ndio utapambana maana huko ni mbali sana na UDOM
 
Hahaha, nimecheka kwa nguvu. Kwamba jamaa wanafanyisha royo tua hata kama hukutaka kutalii.

Naona Mkuu, ukabahatika kupata na sehemu unachemshiwa maji ya kuoga na kupewa kifungua kinywa cha nguvu, Hahaha.
Hahahaa, jana si ilikuwa siku ya kusubiri matokeo, niliamka mida ya saa 3 asubuhi, kwenda kujimwagia maji nikatungua koki ya hot water, asalaleee kumbe maji yalifika Farenheit 212, si nikachomwa mwili[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], nikaamua kufungua koki na Cold water zikaenda simultenously ndipo yakapozwa nikaendelea kuyafurahia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alipigwa chai na maji ya Moto akasahau kama utumishi wapo hahhh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Machungu ya kukosa marks 8 nilikuwa siyawazi
 
Back
Top Bottom