Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Kweli kabisa ndo hapo nikasema kweli mbuzi wa masikini hazaiHahaha, hata wanngejiongeza angalau wakuchukulie mbili kwa aliyeongoza pepa kwa sababu haitamuathiri chochote.
Kwa pisi kali ambazo zinakuja kwa interview na hazina pa kufika, basi waseme hapa, nafasi ni chache.Wakuu mambo vipi? Naona ma PDF yameanza kumwagika, changamoto ya malalamiko ya kwanini Utumishi wako kimya, inakwenda kuisha huku changamoto nyingine zinazotokana na kuitwa zinaanza kuibuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kwa wote, wanaokwenda kwenye Saili mbalimbali na hata wanaowategemea.
Tafadhali, naomba tutumie uzi huu kwa kutaja, nyumba za wageni ambazo ni rahisi mtu kukaa na kufika eneo la Usaili kwa gharama ndogo, maeneo zilipo, gharama na hata mawasiliano kama yapo. Hii itasaidia wengi hasa wanaokwenda kwenye Saili Dodoma kwa mara ya kwanza, au hata waliowahi kwenda na wakaishia kuteseka.
NB: Japo sio kwa umuhimu, inasemekana wengine hulala nje, baa na maeneo mengine kwa kutokuwa na pesa kabisa. Kama hayo maeneo yapo na ni salama naomba tusaidiane kuyataja ili watakaojikuta hali haziruhusu wakimbilie huko.
Asante.
hahahaaHahahaa, hela imeishia kwenye lodge aisee
Narudi kujipanga tena, nina trip nyingine tena tarehe 23.
Utumishi wanatufanyisha Royo Tua..
Hahahahahaa, kweli mkuuHahaha, Mkuu kwa hii Royo tua, japo jambo lako halikwenda ulivyotaka, naamini kuna mengi sana umejifunza pamoja na kufurahia.
Hahahaa, mimi nina nalea huku home, nikirudi huduma kama hiyo naipata vizuri tu.Ohooh, sawa sawa Mkuu. Vipi lakini ushauri wa Kunguru wa Manzese hujaufuata?
Nitakupiga kizinga nikikwama[emoji3][emoji3]hahahaa
Labda uende Ntyuka au mvumi hukoKwa anayezijua guest house za Buku Tano kwa Dodoma,
Anijuze.
Watu tunataka kwenda kwenye usaili jamani.
Lile baridi la Dodoma ni la kulala nje kweli?kama huna pesa safiri jioni fika dodoma usiku, lala stendi kuu ya mabasi pale ni salama na jengo la kulala ni zuri mtakutana wengi tu. Alafu asubuhi anza kufanya safari yako kwenda mahali pa usaili ulipopangiwa. kwa usafiri wowote huwezi tumia dakika zaidi ya 30 kutoka stendi kwenda mahali ulipopangiwa usaili.
Kwa pisi kali ambazo zinakuja kwa interview na hazina pa kufika, basi waseme hapa, nafasi ni chache.
Sawa mkuu, wenye kuhitaji watakuchekiNipo Dodoma kam kuna mtu atahitaji msaada nichek PM