Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Wakuu wakati tunasubiri wengine wenye maelekezo ya sehemu za kulala Dodoma naomba tupeane maarifa kwa wenye uzoefu.

Ni hivi, kuna zile nafasi za Ofisi za CAG yaani NAOT nilisikia madogo wanalalamika, nafasi ilihitaji mtu mwenye Bachelor ya Tax Management ila kuna mtu ana Bachelor ya Science in Taxation. Hawa watu wanachosoma darasani kiuhalisia kinafanana ila utofauti uko kwenye naming iliyofanywa na vyuo tofauti kwa programu husika.

Najiuliza huyu mtu mwenye jina lenye tofauti ndogo, akabadili mfumo kidogo, kisha akaitwa, je akifika getini watamzuia kwa sababu ya utofauti wa jina wakati walichosoma ni kimoja!?
 
Wakuu wakati tunasubiri wengine wenye maelekezo ya sehemu za kulala Dodoma naomba tupeane maarifa kwa wenye uzoefu.

Ni hivi, kuna zile nafasi za Ofisi za CAG yaani NAOT nilisikia madogo wanalalamika, nafasi ilihitaji mtu mwenye Bachelor ya Tax Management ila kuna mtu ana Bachelor ya Science in Taxation. Hawa watu wanachosoma darasani kiuhalisia kinafanana ila utofauti uko kwenye naming iliyofanywa na vyuo tofauti kwa programu husika.

Najiuliza huyu mtu mwenye jina lenye tofauti ndogo, akabadili mfumo kidogo, kisha akaitwa, je akifika getini watamzuia kwa sababu ya utofauti wa jina wakati walichosoma ni kimoja!?

Wakuu kyagata, Prok, Naantombe Mushi (Mkuu, nimepata wakati mgumu sana wakati naandika jina lako), na wengine wenye uzoefu, tafadhali naomba mpitie hapa.
 

Join HR TANZANIA TUSHEE AJIRA, ELIMU NA FURSA ZA KAZI, USAILI NK. NA WENGINE
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ocean road au??huu mwaka nikukandwa tu
Ndio mkuu.

Staff wa ORCI walikuwa serious kusimamia hii written wakishirikiana na Utumishi.

Oral ambayo itafanyikia huko ORCI naona itakuwa ya moto.
 
Back
Top Bottom