Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Kwa pisi kali ambazo zinakuja kwa interview na hazina pa kufika, basi waseme hapa, nafasi ni chache.
 
Lile baridi la Dodoma ni la kulala nje kweli?
 
Kwa pisi kali ambazo zinakuja kwa interview na hazina pa kufika, basi waseme hapa, nafasi ni chache.

Hahaha! Duh! Sawa Mkuu, nashauri uambatanishe na maelezo ya ziada, ikiwemo uko Dodoma sehemu gani, na watafikia kwako binafasi au unautaratibu wa kuwatafutia loji.

Kama itakufaa, naomba pia uweke wazi wewe watakuwa wanakulipa nini, na pisi kali kwako inatakiwa ziwe na sifa gani.
 
Hahahaa, mimi nina nalea huku home, nikirudi huduma kama hiyo naipata vizuri tu.

Huku nawaachieni wengine wenye bachelor mbili[emoji3]

Hahaha, sawa Mkuu. Japo ilikuwa ni nafasi mzuri ya kubadilisha mawazo na Mkuu moneytalk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…