InshaallahSawa Mkuu, utafanikiwa.
Kila la kheri.
Msaada gani sasa?specifyNipo Dodoma kam kuna mtu atahitaji msaada nichek PM
Ushafika Duce mkuu??Kila la kheri wasaka mrija wa Asali
AmenKila la kheri wasaka mrija wa Asali
Wakuu wakati tunasubiri wengine wenye maelekezo ya sehemu za kulala Dodoma naomba tupeane maarifa kwa wenye uzoefu.
Ni hivi, kuna zile nafasi za Ofisi za CAG yaani NAOT nilisikia madogo wanalalamika, nafasi ilihitaji mtu mwenye Bachelor ya Tax Management ila kuna mtu ana Bachelor ya Science in Taxation. Hawa watu wanachosoma darasani kiuhalisia kinafanana ila utofauti uko kwenye naming iliyofanywa na vyuo tofauti kwa programu husika.
Najiuliza huyu mtu mwenye jina lenye tofauti ndogo, akabadili mfumo kidogo, kisha akaitwa, je akifika getini watamzuia kwa sababu ya utofauti wa jina wakati walichosoma ni kimoja!?
Nishakandwa tayari.Ushafika Duce mkuu??
DaahNishakandwa tayari.
Ama hakika hii safari sio ya lelema.
#FocusDomAgain
Written ya Pili hii napigwa kama MandongaDaah
Kada ipi ?Written ya Pili hii napigwa kama Mandonga
Afya(siingii ndani kwa ajili ya privacy)Kada ipi ?
Au sio mkuuAfya(siingii ndani kwa ajili ya privacy)
๐๐๐๐๐Ocean road au??huu mwaka nikukandwa tuNishakandwa tayari.
Ama hakika hii safari sio ya lelema.
#FocusDomAgain
๐๐๐๐Umedandia mtumbwi wa vibwengoWritten ya Pili hii napigwa kama Mandonga
Huenda wakamzuia au wasimzuie,ila naamini mpaka wanamuita means wamejiridhishaWakuu kyagata, Prok, Naantombe Mushi (Mkuu, nimepata wakati mgumu sana wakati naandika jina lako), na wengine wenye uzoefu, tafadhali naomba mpitie hapa.
Huyo me nishamlima block,kila uzi yupo.ni kama kuna kitu anakitafuta toka kwa member wa jf.Afya(siingii ndani kwa ajili ya privacy)
Ndio mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ocean road au??huu mwaka nikukandwa tu