Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Ndio hivyo kiongozi humu ni changanyikeni tu kama kilabuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli nimeamini, na linapokuja kwenye kuanzisha au kuchangia mada za kitaaluma kuna haja watu tuongeze umakini sana.

Kwa sababu mtu anaweza kuongea kitu asichokijua vizuri kumbe kuna watu waliobobea vya kutosha kwenye eneo husika akaishia kujiaibisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilikua orci wakati huu niliwakanda waliingia geto la popo bawa

Hahaha, hii inatia moyo sana. Inabidi kutokata tamaa, kumbe inawezekana mtihani huu wakakukanda na ujao ukakaza ukawakanda wao na kwenda hatua inayofuata.

Vipi lakini Oral ilikujia vipi?
 
Kada zote walizotangaza TAWIRI .mchujo umepggwa IAA. pale njiro but jamaa wanapaper ngumu balaaaa

Duh! Naona hasira za serikali kutotangaza ajira za kutosha wanazihamishia kwa wanaofanya saili.
 
Hongera sana mkuu, sasa maombi yaelekeze kwenye placement.

Usiache kutuombea na wengine tunaopambana ili angalau tuvuke daraja la kukandwa kwa maandishi

Amen, Mkuu. Namimi kwenye sala zangu naliweka hili. Utapita tu.
 
Hahaha, hii inatia moyo sana. Inabidi kutokata tamaa, kumbe inawezekana mtihani huu wakakukanda na ujao ukakaza ukawakanda wao na kwenda hatua inayofuata.

Vipi lakini Oral ilikujia vipi?
Oral ilinikua ngumu kiasi mengine unashindwa chakujibu lakini fresh tu
 
Kabisa kabisa
 
huyo hajabobea vya kutosha, kubobea vya kutosha ni hadi ufanye super specialization i.e PhD (Doctor of Philosophy ).
 
Ni college ya business ipo kabla hujafika majengo ya rose migiro kule utumishi
Sawa mkuu, turudi tena basi Dom au wewe ushahitimisha kukandwa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hahahaha nasubiria moja ya Arusha na open university
Mbona Open walishafanya mwezi uliopita? kuna zingine ambazo bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…