Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Leo nimepitia job descriptions zikiwa zimechapwa kwa kiswahili, sijui kwenye pepa napo wataleta kwa kiswahili.
😂😂😂😂Badilisha kwa kiingereza mkuu
 
Leo nimepitia job descriptions zikiwa zimechapwa kwa kiswahili, sijui kwenye pepa napo wataleta kwa kiswahili.

Kwenye pepa ni kingereza kwa kwenda mbele Mkuu. Jiandae kwa kizungu tu Mkuu.
 
Kwa.wanaohotaji sehemu za malazi apartment in TV,kila kitu ji 30,000 kwa siku karibu sana

Asante sana Mkuu, hii unayoitangaza ni lodge au? Kama ndio, naomba utusaidie maelezo ya ziada kama sehemu ilipo, jina na mawasiliano kama itafaa.

Hata hivyo hapo uliposema mtu atapata kila kitu, ni vigumu kutoa vyote, tusaidie kutaja huduma atakazozipata anayevutiwa tuzijui.
 
Kwa.wanaohotaji sehemu za malazi apartment in TV,kila kitu ji 30,000 kwa siku karibu sana
Ni wapi huko mbona haujaweka wazi, Mawasiliano pia au website au jina la kampuni.

Na unaposema Kila kitu mpaka chakula unapikiwa au vyombo vya kupikia ndo vipo?

Vipi kuhusu utelezi Kwa boys nao upo kwenye apartment? ( Joke)
 
Ni wapi huko mbona haujaweka wazi, Mawasiliano pia au website au jina la kampuni.

Na unaposema Kila kitu mpaka chakula unapikiwa au vyombo vya kupikia ndo vipo?

Vipi kuhusu utelezi Kwa boys nao upo kwenye apartment? ( Joke)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe jobless wanamudu hadi utelezi..
 
Ni wapi huko mbona haujaweka wazi, Mawasiliano pia au website au jina la kampuni.

Na unaposema Kila kitu mpaka chakula unapikiwa au vyombo vya kupikia ndo vipo?

Vipi kuhusu utelezi Kwa boys nao upo kwenye apartment? ( Joke)
😂😂😂😂😂Jobless anataka utelezi wa bure
 
Ni wapi huko mbona haujaweka wazi, Mawasiliano pia au website au jina la kampuni.

Na unaposema Kila kitu mpaka chakula unapikiwa au vyombo vya kupikia ndo vipo?

Vipi kuhusu utelezi Kwa boys nao upo kwenye apartment? ( Joke)

Hahaha, Miss Mbeya ametoa tangazo lenye vitu ambavyo havitekelezeki. Au labda ana eneo lake binafsi analotumia kutoa huduma, kama nyumba au chumba tofauti na maeneo public yanayoruhusu kutangazwa.
 
Back
Top Bottom