Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morena nikalipe kwa Dora[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mikoba ya Kunguru wa Manzese imepata mrithi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂Watapata tabu sana hahhhHahaha, sipati picha kama Kunguru ataweza kujizuia dhidi ya wafungwa. Naamini huko huko kizuizini kuna wadada wazuri sana walioteleza uraiani wakatupiwa huko.
😂😂😂😂Jamaa anachonganisha majobless na Morena Hotel, jobless anaweza kuhisi yuko peponi kwa huduma atakazopata, shida itaanza muda wa kulipia, anaweza pokonywa hadi vyeti kama dhamana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha, kuna namna Mungu amewabana sana jobless, japo pesa hawana lakini wanajikuta wana mahitaji ya lazima.
Hawakosekanagi mkuu, kila sehemu kuna kila aina ya watu.Hahaha, sipati picha kama Kunguru ataweza kujizuia dhidi ya wafungwa. Naamini huko huko kizuizini kuna wadada wazuri sana walioteleza uraiani wakatupiwa huko.
😂😂😂😂Kwahiyo kijana wetu wa hovyo(kunguru) anaenda kula kimasihara au sio?hahhhHawakosekanagi mkuu, kila sehemu kuna kila aina ya watu.
Si unaona Lulu aliwahi kuwa huko.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo kijana wetu wa hovyo(kunguru) anaenda kula kimasihara au sio?hahhh
Hawakosekanagi mkuu, kila sehemu kuna kila aina ya watu.
Si unaona Lulu aliwahi kuwa huko.
😂😂😂😂Na wanasiasa kama jambo haligusi masilahi yao ya moja kwa moja hawaliongelei, sio wa CCM wala wa vyama vya upinzani. Wao changamoto zilizopo Utumishi wanajidai hawazioni kabisa mpaka wapate Rais anayefunga mirija yao ya asali ndipo kila siku wataita waandishi wa habari.
Utasikia, “ndugu waandishi wa habari ....
😂😂😂😂😂hahhh asaivi kuna ngumi inaitwa ndoige inakufata ulipo ndo kama utumishi hata ukikaa kwenye corner wanakufata tuMnaoenda kukandwa uzi wenu huu
Mkuu possible za NAOT ni zipi , auditor IIWakuu, kwa namna NAOT imeifanya Dodoma ijae inabidi tuutembelee huu uzi kwa wingi.
Hata hivyo kwa ambao bado wana machimbo mengine, tafadhali tuendelee kujulishana.