Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]daah halafu nachoona ukitarajia Sana kufaulu tarajia pia kufeli Sana maana cutting point inaashiria umefeli haijalishi umepata ngapi kikubwa mpk uwe selected ndo ujue umefaulu wanazengo wenzangu.Hahaha, jamaa unaweza kudhani hawataki watu wapate kazi, kumbe ndio wanawatafuta hivyo.
Written yangu ya tatu walinifanyia hivi.Wanaachaje kunishangaza Hawa jamaa [emoji3][emoji3][emoji3] kuna kitu inaitwa CUTTING POINT mtu ulikuwa hujawahi kupata 50 ile unapata 50 tu wanachukua kuanzia 51 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi mkuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]daah halafu nachoona ukitarajia Sana kufaulu tarajia pia kufeli Sana maana cutting point inaashiria umefeli haijalishi umepata ngapi kikubwa mpk uwe selected ndo ujue umefaulu wanazengo wenzangu.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂Hapo lazima utaona mbna kama utumishi wanakukomoa hiviWritten yangu ya tatu walinifanyia hivi.
Nilipata 52,wakaondoka na 55[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole mkuu one day yesWritten yangu ya tatu walinifanyia hivi.
Nilipata 52,wakaondoka na 55[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo lazima utaona mbna kama utumishi wanakukomoa hivi
Nalo litakuwa historia maana vitu vinakuja na kupita
😂😂😂😂😂[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Noma sana mkuu, halafu written kabla ya hiyo, walichukua watu waliopata kuanzia 50. Then nilipoimprove na wao wakaimprove cut off.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]halloo weeeh!!! Kaka Wewe unauzoefu mkubwa sana na psrs aiseh Duuuh maana uliyapitia asikwambie mtu inauma Sana, lkn we should never give up kaziiendelee kupambana nao[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Noma sana mkuu, halafu written kabla ya hiyo, walichukua watu waliopata kuanzia 50. Then nilipoimprove na wao wakaimprove cut off.
Sure broNalo litakuwa historia maana vitu vinakuja na kupita
Wanaachaje kunishangaza Hawa jamaa [emoji3][emoji3][emoji3] kuna kitu inaitwa CUTTING POINT mtu ulikuwa hujawahi kupata 50 ile unapata 50 tu wanachukua kuanzia 51 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]daah halafu nachoona ukitarajia Sana kufaulu tarajia pia kufeli Sana maana cutting point inaashiria umefeli haijalishi umepata ngapi kikubwa mpk uwe selected ndo ujue umefaulu wanazengo wenzangu.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Noma sana mkuu, halafu written kabla ya hiyo, walichukua watu waliopata kuanzia 50. Then nilipoimprove na wao wakaimprove cut off.
Nusu siku bado nusu nyingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila kazi za gvt zinahitaji uvumilivu WA kiwango cha flyover
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kabisa na wengi wao huwa wakiaply mpk wanasahau na sio kila post wanaaply, huwa wanaangalia number za post, vitengo, wages, na nyomi la watu ili wahudhurie na huwa mpk wastuliwe hawako bize na psrs.Viumbe wenye raha zaidi ni wale wenye ajira za kueleweka maeneo mengine huku wanataka kuingia tu serikalini, hawa watu hawana presha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sure kbsKabisa Mkuu, kazi za Serikali zinataka uzitafute kama vile huzitafuti.