Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuhh, tunaokuja kesho huenda tusipate kabisaRoom zinasumbua maeneo ya karibu
Nimepata makole guest 20,000.
Makole mbali huko makulu hujaenda?Room zinasumbua maeneo ya karibu
Nimepata makole guest 20,000.
Hahahaa.
Sasa mkuu unataka ulipe ya mwezi mzima, usahili si siku 1 kama hautatoboa written, na ukitoboa kwenda oral zinakuwa siku 3 za kulala huko.
Kama unakuja kwenye usaili Dodoma,nicheki kwa maelezo ya wapi loji gani ulale kulingana na sehemu unayofanyia usaili,kuna watu huhangaika,ntakwambia loji gani iko karibu na sehemu sehemu ya usaili,mfano wale wa utumishi,ntakwambia hadi ukumbi uko coleji IPI,na nauli pia.
Niko eneo la tukio,nimekuja kufanya survey hapa CIVE.kwa kifupi Lodge ziko nyingi tu kwa sasa. DODOMA.binafsi nimefikia kisasa huko Lodge ya 20k iko poa kabisa.
Lalwni BANTU LODGE bei elf.7 ninpasafi, Round about ya Iringa, Singida, na Arusha jirani na MEDIA COLLEGE,
Na mitaa hiyo zipo za Ten ten,
Au lala BANYLON iko jirani na Japanesse II bei ni 15,
Iki poa katikati kabisa Panaitwa MJI MPYA
Mitaa hiyo vipo vingi vya 15, 15,
Kuna Bar jiran inaitwa Mwanga Bar, kuna VATCAN na wana LIVE band J5 na J1 kuku wa kuchoma
PAMOJA NA WALE KUKU WA KIZUNGU (madada Poa)
Wapo wengi saana mitaa hiyo,
Ni hela yako tu,
UNA LOWEKA, UNA SEPAAAA
Amina,muda huu nimetoka kuwakabidhi rum,wale walioingia leo,ambao wana intavyuu kesho huko CIVE,kwenye ukumbi wa auditorium,loji nyingi zimejaa,ila kwasababu wengi walinihakikishia kua wanakuja... nimefanikiwa kuzuia vyumba na nimewakabidhi.Asanteni.Mkuu, Mungu akujazie kheri tutakutafuta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii ni specialMkuu, huu utaratibu wa kuita Babe, unafanya kwa wote au ni maalumu kwa Mkuu @Mwifa
NB: Na wengine tumeipenda hii huduma.
Daah ubarikiwe sana,hope nami yangu ikifika nitapata msaada wakoAmina,muda huu nimetoka kuwakabidhi rum,wale walioingia leo,ambao wana intavyuu kesho huko CIVE,kwenye ukumbi wa auditorium,loji nyingi zimejaa,ila kwasababu wengi walinihakikishia kua wanakuja... nimefanikiwa kuzuia vyumba na nimewakabidhi.Asanteni.
Hahahaaa, noma sana.Hahaha, Mkuu kwa watu walioomba nafasi zaidi ya moja sio vibaya wakaweka kambi kabisa Dodoma kuliko gharama za kwenda na kurudi.
Kuna bwanamdogo mmoja amenichekesha sana, yeye aliamua ahamie Dom kimaisha, ili asipitwe na Usaili wowote hata unaotaka mtu mmoja hauachi.
Hahahaaa, tumetoka mbali naye huyoMkuu, huu utaratibu wa kuita Babe, unafanya kwa wote au ni maalumu kwa Mkuu @Mwifa
NB: Na wengine tumeipenda hii huduma.
Kesho natinga Dom, nitakushikia room usiwe na shaka kwa hilo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii ni special
Usijali,karibu ndugu yangu.Daah ubarikiwe sana,hope nami yangu ikifika nitapata msaada wako
PamojaKiongozi tunashukuru kwa kutupa ripoti ya moja kwa moja kutoka eneo la tukio.
Usaili nafanyia UDOM lakini nimeingia usiku hivyo + ugeni nikaona isiwe kesi niende asubuhiMakole mbali huko makulu hujaenda?