Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Amina,muda huu nimetoka kuwakabidhi rum,wale walioingia leo,ambao wana intavyuu kesho huko CIVE,kwenye ukumbi wa auditorium,loji nyingi zimejaa,ila kwasababu wengi walinihakikishia kua wanakuja... nimefanikiwa kuzuia vyumba na nimewakabidhi.Asanteni.

Tunashukuru sana Mkuu, ili na wengine waweze kukutafuta kwa wingi, hii huduma unaifanya bure au kuna malipo kidogo wanachangia?
 
Hahahaaa, noma sana.

Ina maana kada yake usahili haujawahi kufanyikia kwenye taasisi au mkoani Dar?

Tarehe 10 kuna taasisi sahili zao zinafanyikia Dar na watu wameitwa kuanzia huko Dom tarehe 6 then waje wakinukishe na Dar tarehe 10

Hahaha, hizo za mikoa mingine sio za wenye maGPA makubwa? Kama ndizo huwa hazimuhusu, na kwa hesabu zake zinazomtoa Dodoma ni chache kuliko zinazombakiza.
 
Nakaribisha jinsia ya kike tu kulala nyumbani kwangu, hii ni kwa ajili ya usalama wa ma house girls wangu. Binti njoo na NIDA, maximum wanne

Duh! Sawa Mkuu, nadhani na hii ni huduma ya kipekee. Ni lazima watakuja.
 
Hahaha, hizo za mikoa mingine sio za wenye maGPA makubwa? Kama ndizo huwa hazimuhusu, na kwa hesabu zake zinazomtoa Dodoma ni chache kuliko zinazombakiza.
Hapana mkuu, ni za watu wa kawaida ikiwemo mimi ni miongoni
 
Nimefika makulu hapa namshukuru mungu Nimepata gesti japo haka kamtaa gest za lodge zake zipo juu sana
Umepata ya sh ngapi?

Mimi nimepata ya 25k huku mjini karibi na General Hospital, nitadamka mapema nianze kuhustle usafiri
 
Umepata ya sh ngapi?

Mimi nimepata ya 25k huku mjini karibi na General Hospital, nitadamka mapema nianze kuhustle usafiri
Nimepata kwa buku 8 bt mboga 7 hii gesti wala haiwafai hii ni kwa ajili ya sisi tuliokopa nauli
 
Hapana mkuu, ni za watu wa kawaida ikiwemo mimi ni miongoni

Asante sana Mkuu.

Basi nikajua za mikoani kwa Utumishi ni za Tutorial Assistant zaidi. Kumbe mengi sikuwa nayajua.
 
Duh! Ikoje hiyo Mkuu? Choo kibovu, madirisha hakuna, usalama mdogo au shida yake ni ipi hasa?
Nahisi kama siyo lodge ninayofikia mimi nikienda kwenye saili,,,Kitanda kidogo,,hamna feni,,,chandarua unafunga funga,,,hapo kwa wabishi tu buku saba hadi nane unalala fresh ila umeme upo nahisi ndiyo hapo,,,nahisi ndiyo hapo kama sijakosea
 
Back
Top Bottom