Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Wamenikanda vibaya sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hahaha, nimecheka sana. Mkuu na kipaji cha Comedy unacho. Kwamba wamekukanda vibaya sana.
 
Hahahaa, hela imeishia kwenye lodge aisee

Narudi kujipanga tena, nina trip nyingine tena tarehe 23.

Utumishi wanatufanyisha Royo Tua..

Hahaha, nimecheka kwa nguvu. Kwamba jamaa wanafanyisha royo tua hata kama hukutaka kutalii.

Naona Mkuu, ukabahatika kupata na sehemu unachemshiwa maji ya kuoga na kupewa kifungua kinywa cha nguvu, Hahaha.
 
Hahaha, nimecheka kwa nguvu. Kwamba jamaa wanafanyisha royo tua hata kama hukutaka kutalii.

Naona Mkuu, ukabahatika kupata na sehemu unachemshiwa maji ya kuoga na kupewa kifungua kinywa cha nguvu, Hahaha.
😂😂😂😂😂alipigwa chai na maji ya Moto akasahau kama utumishi wapo hahhh
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri interview za utumishi ikikukanda tu unajua pale pale yani kwamba hapa nimeingia geto la popo bawa

Hahaha, hivi lakini Mkuu wewe huwa unaimani kabisa kwamba ni kweli huwa wanasaisha karatasi moja moja, nakuwa nahisi kama huo muda hawana, wanaishia kukadiria tu!
 
Back
Top Bottom