Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Hahaha, mambo ya kukandwa ni hatari sana.
Hapa nasubiri majibu tu nifocus mengine, naona wameanza kutoa kwa waliofanya jana Moshi na Mwanza, DUCE kulikuwa na nyomi naona tunaweza kupewa matokeo usiku wa manane
 
Yale mambo ya o-level ya kuweka na vivid examples yapo kweli?
Kama unauhakika hiyo example inahusika unaweka lakini huo muda tu wakuandika example unaweza usitoshe😂😂😂😂😂😂😂 jana nilikua naandika nikaona invigilator anasikitika nikasema leo nimeyakanyaga tena hapa sio bure
 
So kama usaili WA written or oral utakuwa wa kada zaidi ya moja zilizo equivalent tufocus hasa kwenye kada zote au tunasomaje hapo wadau???

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nilichogundua ikiwa taasisi inajitegemea, soma mfumo wote wa taasisi husika, rudi kwenye research na job description, meza haswa....
 
Kama unauhakika hiyo example inahusika unaweka lakini huo muda tu wakuandika example unaweza usitoshe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jana nilikua naandika nikaona invigilator anasikitika nikasema leo nimeyakanyaga tena hapa sio bure
Hakushout kwa kusema, "eleweni swali kabla ya kuanza kujibu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wale wa orci ingieni kwenye account mzigo tayari
Huu mtindo naona unaboa.

Bora tu waweke PDF tujionee mbivu na mbichi. Kwa ambao tushakandwa wanatunyanyasa kwa kutusumbua tulog in bila kuona chochote tukifika ndani
 
Hapa nasubiri majibu tu nifocus mengine, naona wameanza kutoa kwa waliofanya jana Moshi na Mwanza, DUCE kulikuwa na nyomi naona tunaweza kupewa matokeo usiku wa manane

Duh! Mkuu, poleni sana.
 
Kama unauhakika hiyo example inahusika unaweka lakini huo muda tu wakuandika example unaweza usitoshe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jana nilikua naandika nikaona invigilator anasikitika nikasema leo nimeyakanyaga tena hapa sio bure

Hahaha [emoji23], kwamba msimamizi alishaanza kuona dalili kwamba unapotea.
 
Hakushout kwa kusema, "eleweni swali kabla ya kuanza kujibu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hahaha [emoji1787], yani hii ukiisikia halafu msimamizi yuko anakodolea macho karatasi yako ni lazima uchanganyikiwe.
 
Back
Top Bottom