Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nasubiri majibu tu nifocus mengine, naona wameanza kutoa kwa waliofanya jana Moshi na Mwanza, DUCE kulikuwa na nyomi naona tunaweza kupewa matokeo usiku wa mananeHahaha, mambo ya kukandwa ni hatari sana.
Kama unauhakika hiyo example inahusika unaweka lakini huo muda tu wakuandika example unaweza usitoshe😂😂😂😂😂😂😂 jana nilikua naandika nikaona invigilator anasikitika nikasema leo nimeyakanyaga tena hapa sio bureYale mambo ya o-level ya kuweka na vivid examples yapo kweli?
Zile nadhani mpaka saa6 au 7 kama za udom juziHapa nasubiri majibu tu nifocus mengine, naona wameanza kutoa kwa waliofanya jana Moshi na Mwanza, DUCE kulikuwa na nyomi naona tunaweza kupewa matokeo usiku wa manane
So kama usaili WA written or oral utakuwa wa kada zaidi ya moja zilizo equivalent tufocus hasa kwenye kada zote au tunasomaje hapo wadau???Zile nadhani mpaka saa6 au 7 kama za udom juzi
Nilichogundua ikiwa taasisi inajitegemea, soma mfumo wote wa taasisi husika, rudi kwenye research na job description, meza haswa....So kama usaili WA written or oral utakuwa wa kada zaidi ya moja zilizo equivalent tufocus hasa kwenye kada zote au tunasomaje hapo wadau???
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Shukurani kwa miongozoNilichogundua ikiwa taasisi inajitegemea, soma mfumo wote wa taasisi husika, rudi kwenye research na job description, meza haswa....
[emoji23][emoji23][emoji23]aisee la koroboi tu ndio yamejaaUkikutana nalo la TAA mahari unishitue
Hakushout kwa kusema, "eleweni swali kabla ya kuanza kujibu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama unauhakika hiyo example inahusika unaweka lakini huo muda tu wakuandika example unaweza usitoshe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jana nilikua naandika nikaona invigilator anasikitika nikasema leo nimeyakanyaga tena hapa sio bure
😂😂😂😂Alishika shavu tu nikasema tayari nshajikaanga apaHakushout kwa kusema, "eleweni swali kabla ya kuanza kujibu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu mtindo naona unaboa.Wale wa orci ingieni kwenye account mzigo tayari
Nadhani wataweka usiku kama siku ile tuHuu mtindo naona unaboa.
Bora tu waweke PDF tujionee mbivu na mbichi. Kwa ambao tushakandwa wanatunyanyasa kwa kutusumbua tulog in bila kuona chochote tukifika ndani
Hadi sasa kuna wapo ambao washaona selected zao kwenye akaunti?Nadhani wataweka usiku kama siku ile tu
Kama unauhakika hiyo example inahusika unaweka lakini huo muda tu wakuandika example unaweza usitoshe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jana nilikua naandika nikaona invigilator anasikitika nikasema leo nimeyakanyaga tena hapa sio bure
Hakushout kwa kusema, "eleweni swali kabla ya kuanza kujibu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]