HS CODE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 1,784
- 4,376
- Thread starter
- #581
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alishika shavu tu nikasema tayari nshajikaanga apa
Ndio maana mimi nikiwa kwenye mitihani yoyote, huwa siamshi kichwa ili nisijekutana na vinavyokatisha tamaa. Nadili na pepa kiasi cha kutojua hata vitu gani vilikuwa vinaendelea chumba cha mtihani.