Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Kama wewe unaziona dalili za kutimba Dodoma mara nyingi kwa ajili ya sahili za utumishi,
Kitu cha kufanya ni kutengeneza ukaribu mzuri na mtu/watu wa Dodoma ili kupata sapoti ya malazi hata kama ni maeneo ya uswahilini.

Ikiwa utalala siku 3 mfululizo, utaokoa karibia 60,000/- ambayo itafaa kwa nauli.
Hii ni kwa majobless.

Sawa sawa Mkuu, asante sana kwa ushauri mzuri.
 
Kwa Nini msilale hostel za kanisa zipo mjini pale, au hostel za VETA nazo zipo hapo mjini, kama hizo hamtaki nenda Chinise lodge, Paris lodge nk

Mkuu, asante sana. Vipi makadirio ya gharama zake kama unayajua tusaidie.

Halafu hizi za kanisa huwa wanatoza pesa au ni wanatoa huduma ya bure kwa wenye mahitaji?
 
Sikieni sasa ndugu zangu, kuna guest ipo sehemu panaitwa ntyuka, ni Local hasa ila inafaa kama bajeti yako ni ndogo sana. Inaitwa Zambezi ipo sehemu panaitwa Ntyuka ni karibu sana na Udom

Gharama ni 8k self, 5k choo nje. Kama interview ni siku 3 nazani umeshaona utasave hela kiasi gani.

#NB ni sio sehemu nzuri sana na nazani bei inazihirisha hilo
 

Attachments

  • 20220914_192643.jpg
    20220914_192643.jpg
    272.4 KB · Views: 15
Sikieni sasa ndugu zangu, kuna guest ipo sehemu panaitwa ntyuka, ni Local hasa ila inafaa kama bajeti yako ni ndogo sana. Inaitwa Zambezi ipo sehemu panaitwa Ntyuka ni karibu sana na Udom

Gharama ni 8k self, 5k choo nje. Kama interview ni siku 3 nazani umeshaona utasave hela kiasi gani.

#NB ni sio sehemu nzuri sana na nazani bei inazihirisha hilo
Ahsante kwa muongozo mkuu
 
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kwa wanaokuja Dodoma kwa interview weekend na wanaitaji kubook hotel au lodge tuwasiliane

Pia kwa watakaotaka usafiri toka siku yakufika adi eneo la interview tupo tayari kupokea booking.
 
Kwa wanaokuja Dodoma kwa interview weekend na wanaitaji kubook hotel au lodge tuwasiliane

Pia kwa watakaotaka usafiri toka siku yakufika adi eneo la interview tupo tayari kupokea booking.
 
Sikieni sasa ndugu zangu, kuna guest ipo sehemu panaitwa ntyuka, ni Local hasa ila inafaa kama bajeti yako ni ndogo sana. Inaitwa Zambezi ipo sehemu panaitwa Ntyuka ni karibu sana na Udom

Gharama ni 8k self, 5k choo nje. Kama interview ni siku 3 nazani umeshaona utasave hela kiasi gani.

#NB ni sio sehemu nzuri sana na nazani bei inazihirisha hilo

Aisee Mkuu ubarikiwe sana. Yaani hii inatosha sana kumfanya mpambanaji apate pakujificha ifike asubuhi.

Asante sana. Vipi hukufanikiwa kupata mawasiliano nao ili iwe rahisi kuweka booking na kufika?
 
Kwa wanaokuja Dodoma kwa interview weekend na wanaitaji kubook hotel au lodge tuwasiliane

Pia kwa watakaotaka usafiri toka siku yakufika adi eneo la interview tupo tayari kupokea booking.

Mkuu ungetusaidia kufafanua kidogo, angalau tujue nyie ni wakina nani, huduma yenu hasa ni ipi na ikiwezekana gharama zenu na mawasiliano.

Hii itaturahisishia kupeana riziki na kusaidiana kutimiza malengo.
 
Hivi ni kweli viongozi wa juu kabisa serikalini wanajua kwamba kuna ajira na saili zinazochukua miezi na miezi bila kuita saili wala kutoa majibu ya kupangiwa kazi kwa waliofaulu na bado wanaona ni hali ya kawaida, au ndio ile ya mwenye shibe hamjui mwenye njaa!?

Bado sinauhakika ni nini kinaendelea kwenye nafasi za TRA, NAOT na nyingine, vitu vya tangu April! Hii ni hatari.

Hizo zilikuwa ni za bajeti ya 2021/2022, hivi hizi nyingine za 2022/2023 zitatangazwa lini na watu wataanza kazi lini kama sio mwisho wa mwaka ujao!

Yani ile bajeti aliyoahidi Jenista Mhagama kuelekezwa kwenye kufanya saili zifanyike mikoani, japo haijaanza kutekelezwa ni bora utekelezaji wake uache saili Dodoma na vile maeneo ya gharama nafuu za kulala tumeshaanza kupeana, lakini uziongeze kasi zifanyike haraka haraka.

Haitakuwa na maana hata kama saili zinafanyika mikoa yote lakini zoezi linachukua miezi sita au zaidi.
 
Hivi ni kweli viongozi wa juu kabisa serikalini wanajua kwamba kuna ajira na saili zinazochukua miezi na miezi bila kuita saili wala kutoa majibu ya kupangiwa kazi kwa waliofaulu na bado wanaona ni hali ya kawaida, au ndio ile ya mwenye shibe hamjui mwenye njaa!?

Bado sinauhakika ni nini kinaendelea kwenye nafasi za TRA, NAOT na nyingine, vitu vya tangu April! Hii ni hatari.

Hizo zilikuwa ni za bajeti ya 2021/2022, hivi hizi nyingine za 2022/2023 zitatangazwa lini na watu wataanza kazi lini kama sio mwisho wa mwaka ujao!

Yani ile bajeti aliyoahidi Jenista Mhagama kuelekezwa kwenye kufanya saili zifanyike mikoani, japo haijaanza kutekelezwa ni bora utekelezaji wake uache saili Dodoma na vile maeneo ya gharama nafuu za kulala tumeshaanza kupeana, lakini uziongeze kasi zifanyike haraka haraka.

Haitakuwa na maana hata kama saili zinafanyika mikoa yote lakini zoezi linachukua miezi sita au zaidi.
Tuishi humu kwa kwanza kabla PSRS wanaendelea kuchakata.

"...mwenye shibe hamjui mwenye njaa.."
 
Back
Top Bottom