Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uko sahihi sana Mkuu, na nimeshuhudia zaidi ya watu watano waliodhani watafeli ila wakafaulu.

Na nawajua kibao waliotoka kwenye pepa wakijua wamepita ila utumishi wanajua wenyewe walichokifanya, hawakwenda popote zaidi ya kusubiria Received nyingine ziite.
Daah yaani hiyo Kweli kaka ndio maana ukitaka ujue ulifaulu kokote waiting for PDF either of placement or selected for oral. Zaidi ya hapo tuendelee na mambo mengine au post zingine after interview.
Kinachotuua wengi ni expectation na inauma mno unapojikuta kwenye PDF haupo while ulisubiri miezi 6 yote asikwambie mtu, lkn tuendelee kujifunza me naamini hii yote tunafundishwa namna ya kuyathamini majukumu yetu yajayo na kuwaheshimu jobless Wengine kwasababu tunaelewa uchungu wake.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kama vile namtafuta mtu aliyejificha, akisikia nasogea na yeye anasogea ili nisimkamate[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]halloo weeeh!!! Kaka Wewe unauzoefu mkubwa sana na psrs aiseh Duuuh maana uliyapitia asikwambie mtu inauma Sana, lkn we should never give up kaziiendelee kupambana nao

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hadi nishajulikana kwa wasimamizi, wakiniangalia sura, vyeti wanabaki kuvishika shika kutimiza wajibu na kunikaribisha kwa Mkando[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahaha, wakati wewe unapanga yakwako na utumishi wanapanga yakwao.
Ile hoja ya ratio ndio matter hapa sasa. Mtu unakuwa unajua haujaenda oral kihalali hata kama una above 50 kwa kuwa ratio inaweka mambo wazi.

Yaani calculation ya kuselect utaweza kuifanya mwenyewe na kujijua kuwa huendi oral
 
Viumbe wenye raha zaidi ni wale wenye ajira za kueleweka maeneo mengine huku wanataka kuingia tu serikalini, hawa watu hawana presha.
Wale wanaoenda kwenye Malecture hall UDOM kwa kudrive ndio wapo hapa.

Sisi jobless wa uhakika lazima tubargain hadi nauli za boda boda au bajaj ili tuweze kufika sehemu husika.

Gavo pana security bila kujali maslahi ndipo watu wanapataka huku
 
Kabisa na wengi wao huwa wakiaply mpk wanasahau na sio kila post wanaaply, huwa wanaangalia number za post, vitengo, wages, na nyomi la watu ili wahudhurie na huwa mpk wastuliwe hawako bize na psrs.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kuna mwana kwenye group la WhatsApp, zilipotoka shortlist za NAOT akawa anasema "hadi watu tumesahau kama tuliapply..." mimi kimoyo kimoyo nikawa najisemea kuwa huyu ana kazi ya kueleweka na anatucheza shere wahitaji.

Jobless wa uhakika hawezi kusahau kama alifanya application ya kazi
 
Daah yaani hiyo Kweli kaka ndio maana ukitaka ujue ulifaulu kokote waiting for PDF either of placement or selected for oral. Zaidi ya hapo tuendelee na mambo mengine au post zingine after interview.
Kinachotuua wengi ni expectation na inauma mno unapojikuta kwenye PDF haupo while ulisubiri miezi 6 yote asikwambie mtu, lkn tuendelee kujifunza me naamini hii yote tunafundishwa namna ya kuyathamini majukumu yetu yajayo na kuwaheshimu jobless Wengine kwasababu tunaelewa uchungu wake.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kuyathamini majukumu.

Kuwaheshimu jobless.


Umenena sana hapa[emoji122][emoji120]
 
Kabisa na wengi wao huwa wakiaply mpk wanasahau na sio kila post wanaaply, huwa wanaangalia number za post, vitengo, wages, na nyomi la watu ili wahudhurie na huwa mpk wastuliwe hawako bize na psrs.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Hahaha, kabisa Mkuu. Tofauti na hapo kama mtu hana ajira, anajikuta ajira yake ni kusubiri utumishi watasema nini, na huwa hawasemi kwa muda anaotaka yeye ni wanaotaka wao.
 
Kuna mwana kwenye group la WhatsApp, zilipotoka shortlist za NAOT akawa anasema "hadi watu tumesahau kama tuliapply..." mimi kimoyo kimoyo nikawa najisemea kuwa huyu ana kazi ya kueleweka na anatucheza shere wahitaji.

Jobless wa uhakika hawezi kusahau kama alifanya application ya kazi

Yani Mkuu, kama mtu hana kazi akifanya maombi kila siku huwa ni lazima ajipe matumaini pengine wataita leo, kwa mwendo huu, hawezi kusahau hata kidogo mpaka siku ahakikishe amekandwa kisawasawa.

Tofauti na hapo, akiwakanda mateso yanaendelea kwa kuhamia kwenye kundi la wanaosubiri Placements au kuripoti kazini.
 
Wale wanaoenda kwenye Malecture hall UDOM kwa kudrive ndio wapo hapa.

Sisi jobless wa uhakika lazima tubargain hadi nauli za boda boda au bajaj ili tuweze kufika sehemu husika.

Gavo pana security bila kujali maslahi ndipo watu wanapataka huku

Hilo ni kweli kabisa Mkuu, hahaha inatisha ukiona magari yanayo pakiwa nje ya chumba cha mtihani unachotaka kuingia, unaweza kuhisi yale maneno ya psrs wana watu wao kwamba ndio hao wamefika kuchukua kazi zao waondoke.
 
Daah yaani hiyo Kweli kaka ndio maana ukitaka ujue ulifaulu kokote waiting for PDF either of placement or selected for oral. Zaidi ya hapo tuendelee na mambo mengine au post zingine after interview.
Kinachotuua wengi ni expectation na inauma mno unapojikuta kwenye PDF haupo while ulisubiri miezi 6 yote asikwambie mtu, lkn tuendelee kujifunza me naamini hii yote tunafundishwa namna ya kuyathamini majukumu yetu yajayo na kuwaheshimu jobless Wengine kwasababu tunaelewa uchungu wake.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Hahaha, sawa Mkuu. Nimekuelewa, nimeona pia namna usumbufu wanaopitia jobless unawaongezea sana hekima za kutafsiri mambo.
 
Ile hoja ya ratio ndio matter hapa sasa. Mtu unakuwa unajua haujaenda oral kihalali hata kama una above 50 kwa kuwa ratio inaweka mambo wazi.

Yaani calculation ya kuselect utaweza kuifanya mwenyewe na kujijua kuwa huendi oral

Hili ni kweli kabisa Mkuu, uko sahihi sana.
 
Hilo ni kweli kabisa Mkuu, hahaha inatisha ukiona magari yanayo pakiwa nje ya chumba cha mtihani unachotaka kuingia, unaweza kuhisi yale maneno ya psrs wana watu wao kwamba ndio hao wamefika kuchukua kazi zao waondoke.
😂😂😂😂😂Hahhhh Kwamba watu wao wamekuja kuchukua kazi zao
 
Yani Mkuu, kama mtu hana kazi akifanya maombi kila siku huwa ni lazima ajipe matumaini pengine wataita leo, kwa mwendo huu, hawezi kusahau hata kidogo mpaka siku ahakikishe amekandwa kisawasawa.

Tofauti na hapo, akiwakanda mateso yanaendelea kwa kuhamia kwenye kundi la wanaosubiri Placements au kuripoti kazini.
Kweli mkuu, mfano mimi mwaka huu nilifanya Application 8( 1 wizarani(sikupata), 1 Tamisemi(sikupata), 1 Private hospital(sikuwa shortlisted maana sikuwa contacted), 5 PSRS( 1 sikuitwa, 4 nikaitwa(3 nikakandwa, 1 ni ya juzi NaOT nasubiri majibu))

Hizo application zote nilikuwa nazifuatilia kabla majibu hayajatoka, nilipotemwa/kukandwa ndipo ikawa mwisho wa kuifuatilia hiyo application.
 
Hilo ni kweli kabisa Mkuu, hahaha inatisha ukiona magari yanayo pakiwa nje ya chumba cha mtihani unachotaka kuingia, unaweza kuhisi yale maneno ya psrs wana watu wao kwamba ndio hao wamefika kuchukua kazi zao waondoke.
Hahahahaa.
Juzi written ya NAOT magari yalikuwa yamejaa sana utadhani ni convey ya bi mkubwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh Kwamba watu wao wamekuja kuchukua kazi zao

Hahaha, kabisa Mkuu. Mtu anayekuja na gari ya ndoto yako kwenye usaili ya utumishi ni lazima akukoseshe amani, ni ishara kwamba anajiamini sana.
 
Back
Top Bottom