Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Dinner....
IMG_20201028_213422.jpeg
 
Jamani humu tunakula tunavyotaka na madoido kibao ila utotoni tukumbuke vizuri ile misosi,sielewi ilikua ni njaa ama kitu gani.
Mbeya 80s kulikua na mzee mmoja akitoka mabatini huko anaenda mpaka Iyunga na kisado kina kababu tuliita ni meatballs,yule mzee sijawai kuelewa alikua anatumia viungo gani,nimejaribu kuvuta hisia sana VIUNGO katumia nikaambulia tangawizi,vitunguu na pilipili kibao ila kwingine sijaelewa.nimeshatengeneza zaidi ya mara 10 sijapata ile ladha.sijui yule mzee alitumia kitugani.
ni mara moja tu nilitwanga kila kitu ground mwenyewe ndio kidogoo ilikaribia,zile kababu sijawai kusahau milele.
Mzee labda hayupo ila huko aliko tunamkumbuka.
WEWE UNAMKUMBUKA MTAALAM GANI UTOTONI?[emoji118]

[emoji39]
Kuna vitumbua nilikula kwa mhindi Arusha

Kitumbua kina matobo fulan makubwa makubwa,kila ladha ambayo haijawahi kuniisha mdomoni,

Sijawahi kula kitumbua kama kile
 
Jamani humu tunakula tunavyotaka na madoido kibao ila utotoni tukumbuke vizuri ile misosi,sielewi ilikua ni njaa ama kitu gani.
Mbeya 80s kulikua na mzee mmoja akitoka mabatini huko anaenda mpaka Iyunga na kisado kina kababu tuliita ni meatballs,yule mzee sijawai kuelewa alikua anatumia viungo gani,nimejaribu kuvuta hisia sana VIUNGO katumia nikaambulia tangawizi,vitunguu na pilipili kibao ila kwingine sijaelewa.nimeshatengeneza zaidi ya mara 10 sijapata ile ladha.sijui yule mzee alitumia kitugani.
ni mara moja tu nilitwanga kila kitu ground mwenyewe ndio kidogoo ilikaribia,zile kababu sijawai kusahau milele.
Mzee labda hayupo ila huko aliko tunamkumbuka.
WEWE UNAMKUMBUKA MTAALAM GANI UTOTONI?[emoji118]

[emoji39]
Arusha Kuna mama alikua anauza vitumbua vitamuu amenifanya nisofurahie vingine nnavyokula....miaka imepita.Alikua anauza barabarani tu opposite na ofisi za maji....nilikua sikosi,alinizoea akawa ananiwekea pembeni kila siku

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Kunamaharage na wali nilikula Moro zamani sana pale opposite stand ya zamani kuna mgahawa wa waarabu aisee,badaae ilibidi safari ziwe nyingi tu za Moro si kwa yale maharage,
Nimepika tena na tena sijawai kupatia
 
Back
Top Bottom