Uzi wakutaja kitu chochote ambacho uliwahi kuona na sio cha kawaida katika maisha yako

Uzi wakutaja kitu chochote ambacho uliwahi kuona na sio cha kawaida katika maisha yako

Kipindi flani wakati nipo mdogo nilitumwa dukani, ilikua ikifika magharibi hua situmwi dukani kabisa sku hiyo baba akanambia nenda nikawa naogopa mana duka lilikua mbali nikaombewa mtoto wa jirani anisindikize sasa kabla hujafika dukani ukimaliza nyumba tulizokua tunaishi karibu nazo kuna kagiza cha ajabu kweli had dukani na hilo giza ndio lilikua linanitishia, tukavuka vizur mbele kuna barabara inakwenda mashine kulikua na gari inakuja iliwasha taa full bas tukasimama tukijua itakuja huku tulipo ghafla pale mbele ya gar kuja kwetu tukamuona dada kashikilia sjui ni gauni sjui sketi anakimbia kuja upande tuliopo tulikimbia sitakaa nikasahau nikarudi nyumbani dukani sikwenda tena mpaka leo najiuliza yule dada ina mana lile gari hakuliona au mwenye gari hakunuona sipatagi majibu
Daaa!!ulitakiwa kusubiri kidogo ili uone mwisho wa Huyo Dada, Leo ungetusimulia vingi mno.
 
Nakumbumbuka kipindi naishi kigoma tulikuwa tunaishi compound za mashirika ya kuhudumia wakimbizi.ilikuw miaka ya 2001 kwa kipindi hicho baadhi ya mashirika yalikuwa yanaondoka.
Nilikuw mlevi na mvuta ganja na masigara kwq kipindi hicho ndo ujana ulikuwa umenibamba!
Ndani ya ile kotaz kuna mti mkubwa sana ambao watu wengi walikuwa wanaishi hapo walikuwa wanaomba ukatwe kila siku sbb ya mauzauza yake!wasomi wenyewe walikubali kwamba ule mti hukuwa wa kawaida!
kuna mlinzi mmoja mzee ni mchawi ndo alikuwa mlinzi hapo miaka yote!
Nisiwachoshe!
Siku hiyo narudi mida saa nane usiku kwanza ikaja kaupepo flan cha marashi nikasimama kuiskiliza vzr maana sio ya nchi hii.
Ilikuwa tayar jenereta imezimwa hapo kotaz hivyo giza la hatari.
Nikaanza kuhis nashikwa mapumbu nikipeleka mkono hakuna kitu!
yaani nikishika pumbu naanza kupapaswa kifuani na kukwaruza na vikucha flan amaizing!
Dude likasimama yaani nimevaa nguo lakin nashikwa uchi km sina nguo vile..
Wee nani sijibiwi ila naskia pumzi ya mtu kbs!
Pombe imeruka hapo!
Asee nilipoona sijibiwi nikaona leo kuna mawili kuffirwa au vingine hapa ni kufunguka tuu
hahaha hahahahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio muda sana hii imetokea,
nimerudi kwenye mihangaiko yangu nishazoea nikifungua tu mlango jirani katoka ananisemesha kisha anaenda zake kufanya mazoezi,
Narudi siku hiyo kimyaa, nikafanya mambo yangu nikataka nijilaze lakini nikasema ngoja nimuangalie yupo au hayupo?

Haishi na mtu zaidi ya mbwa wake mdogo anampenda balaa, nikagonga mara moja nikaingia hadi living room yalaaaa! namkuta uchi juu ya sofa mbwa anamlamba sehemu za siri anatoa milio yote, nilifadhaika nikatoka haraka sana jinsi alivyokua deep hakunisikia hata kidogo.

Baadae sana ananigongea kama nipo ila daah kila nikimuangalia nakosa jibu pia namuhurumia mbwa kumbe anatumikishwa kingono.
duuuh hiii nayo kali
 
Kipindi flani wakati nipo mdogo nilitumwa dukani, ilikua ikifika magharibi hua situmwi dukani kabisa sku hiyo baba akanambia nenda nikawa naogopa mana duka lilikua mbali nikaombewa mtoto wa jirani anisindikize sasa kabla hujafika dukani ukimaliza nyumba tulizokua tunaishi karibu nazo kuna kagiza cha ajabu kweli had dukani na hilo giza ndio lilikua linanitishia, tukavuka vizur mbele kuna barabara inakwenda mashine kulikua na gari inakuja iliwasha taa full bas tukasimama tukijua itakuja huku tulipo ghafla pale mbele ya gar kuja kwetu tukamuona dada kashikilia sjui ni gauni sjui sketi anakimbia kuja upande tuliopo tulikimbia sitakaa nikasahau nikarudi nyumbani dukani sikwenda tena mpaka leo najiuliza yule dada ina mana lile gari hakuliona au mwenye gari hakunuona sipatagi majibu
hujaeleweka huyo Dada alitokea upande gani alikatisha wapi akiwa anajilipia hiyo gauni..!?
 
Ni hivi wakat tunaelekea dukani kulikua na barabara kama zimekutana njia nne sisi tunatokea kusini kwenda magharibi halaf kulikua na ari yatokea kaskazini imewasha full lights inakuja kusini kati kati ya bara bara tukamuona mdada amekunja sjui gauni sjui n nn anatoka mbio kuja huku tulipo hatukujua katokea wapi na alikua kati kati gari ile iko nyuma na mwendo wake sie kuona vile ikabidi tukimbie kurudi tulikotoka tukishibdwa kujua mdada katokea wapi na kwa nn hakugongwa
nyie uoga wenu ndio uliwakimbiza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hayo mapaka ndiyo huwa napenda kupiga teke.

Huyo paka bado yupo au kaondoka? Kuna vitu vinajua watu wa kucheza nao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]
 
Ilikuwa kitambo kdogo kwenye kagiza kalikochagizwa na kimbalamwezi kwa mbaali. Tulikuwa upenuni hom kwetu na mshkaj tunapiga stori tukaona watu wawili wanateta mbele ya nyumba yetu tuligundua walikuwa mwanamke na mwanamme. palikuwa na mti mkubwa walisimama hapo chin ya huo mti. Tulimjua huyo mmama alikuwa na heshima zake tu hapo mtaani inaelekea alipata kiserengeti. Cha kushangaza mara ghafla tukaona wanakumbatiana. Mara heee tukaona wanachojoa kulikuwa na kila dalili wanataka kugegedana palepale chini ya mti!!. Mimi na mshikaj tukataka kutimua mbio maana kwetu halikuwa jambo la kawaida hlf wangegundua ingekuwa soo. Tukateta kdogo tukatuliza munkari tuliona tusije kuwashtua ikawa soo zaidi. Tulikuwa sehemu ya pembezoni. wao na vile ge.nye zimeshawapanda haikuwa rahisi kutuona na kagiza vile. Dakika zilizofata mmama alikuwa kashikishwa ule mti wetu na sie wamiliki wa huo mti tukawa tumekenua meno kwa tabasam tukicheki mchezo wa kibaba baba bila malipo.
 
Kuna mdada nilikuwa namuheshimu sana maeneo flani hv siku moja jamaa yake akanisimulia kwamba walienda kutoa mimba kwa mbibi mganga,yani yule dada alisimama juu ya kioo akasema shida yake halaf mbele kuna kibuyu akaambiwa weka sadaka yako kwenye kibuyu yoyote ile gafla akajikuta hana mimba hata nguo hajavua aisee niligopa sana
 
Sema kama kibwengo alikupitia Acha kuvunga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbumbuka kipindi naishi kigoma tulikuwa tunaishi compound za mashirika ya kuhudumia wakimbizi.ilikuw miaka ya 2001 kwa kipindi hicho baadhi ya mashirika yalikuwa yanaondoka.
Nilikuw mlevi na mvuta ganja na masigara kwq kipindi hicho ndo ujana ulikuwa umenibamba!
Ndani ya ile kotaz kuna mti mkubwa sana ambao watu wengi walikuwa wanaishi hapo walikuwa wanaomba ukatwe kila siku sbb ya mauzauza yake!wasomi wenyewe walikubali kwamba ule mti hukuwa wa kawaida!
kuna mlinzi mmoja mzee ni mchawi ndo alikuwa mlinzi hapo miaka yote!
Nisiwachoshe!
Siku hiyo narudi mida saa nane usiku kwanza ikaja kaupepo flan cha marashi nikasimama kuiskiliza vzr maana sio ya nchi hii.
Ilikuwa tayar jenereta imezimwa hapo kotaz hivyo giza la hatari.
Nikaanza kuhis nashikwa mapumbu nikipeleka mkono hakuna kitu!
yaani nikishika pumbu naanza kupapaswa kifuani na kukwaruza na vikucha flan amaizing!
Dude likasimama yaani nimevaa nguo lakin nashikwa uchi km sina nguo vile..
Wee nani sijibiwi ila naskia pumzi ya mtu kbs!
Pombe imeruka hapo!
Asee nilipoona sijibiwi nikaona leo kuna mawili kuffirwa au vingine hapa ni kufunguka tuu
 
Hahahaha kweli?? Jamani jana nililala mapema kweli nikaamkia mikaz leo muda huu ndio napumua nikasema niingie huku ulifikiria nn jana ukafanya kile ulichokifanya ujue nilicheka kama mjinga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Nilikumiss sana.
 
Hahahaha kweli?? Jamani jana nililala mapema kweli nikaamkia mikaz leo muda huu ndio napumua nikasema niingie huku ulifikiria nn jana ukafanya kile ulichokifanya ujue nilicheka kama mjinga
Inatakiwa siku zijazo tutoke humu.
 
Back
Top Bottom