Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Kwanza TBC wameenda kusema nini polisi. Kuna vitu vinafurahisha kwa kweli. Yaani uje nyumbani kwangu na uanze kinipangia cha kuzungumza, nakutimua mchana kweupe.
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amejibu tamko la uongozi wa TBC na kuwaambia Chadema haiogopi polisi kwa sababu polisi ni sehemu ya maisha yao.

Mbowe amesema kama TBC wataacha upendeleo na kuomba radhi wananchi basi watawakaribisha tena kwenye mikutano yao.

Source ITV habari!

My take; Chadema isishindane na vyombo vya habari itaumia.

Maendeleo hayana vyama!
Tbc sio chombo cha habari bali ni chombo cha propaganda cha CCM.
 
TBC sio chombo pekee cha habari Tz, futa hiyo kauli yako "Chadema isishindane na vyombo vya habari Tz" hata jana TBC walivyotimuliwa pale uwanjani kuna vyombo vingine vya habari viliendelea kuwepo.
 
Daaa! Nimeangalia UTV hapa mkutano wa kawe daaa. Watanzania nimewavulia kofia kwa unafiki, duu watu kiduchu mno. UTV hawajafanya poa kabisa!
 
ACHA UPUUZI wako wewe! Vyombo vya habari vipi? Hivi vinavyotishwa na huyo anayejiita KICHAA hata kuogopa kumuhoji Lissu au kuandika kuhusu Chadema na kampeni zake? 😳😳😳



Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amejibu tamko la uongozi wa TBC na kuwaambia Chadema haiogopi polisi kwa sababu polisi ni sehemu ya maisha yao.

Mbowe amesema kama TBC wataacha upendeleo na kuomba radhi wananchi basi watawakaribisha tena kwenye mikutano yao.

Source ITV habari!

My take; Chadema isishindane na vyombo vya habari itaumia.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amejibu tamko la uongozi wa TBC na kuwaambia Chadema haiogopi polisi kwa sababu polisi ni sehemu ya maisha yao.

Mbowe amesema kama TBC wataacha upendeleo na kuomba radhi wananchi basi watawakaribisha tena kwenye mikutano yao.

Source:
ITV habari!

My take: Chadema isishindane na vyombo vya habari itaumia.

Maendeleo hayana vyama!
Nani alikuteua kuwa mzungumzaji wa Chadema? Acha kiherehere jombaa
 
Kumtoa mtu ndani kwake hadi aje kusikiliza sera zako ni jambo ambalo linahitaji technique nyingi. Kwanza hamasa

CHADEMA hamkua na hamasa yoyote ya kuhamasisha watu juu ya uzinduzi wa kampeni yenu, amsha amsha hazikuepo kama zile enzi za Dkt. Slaa.

Hamkua na vitu vya kushawishi watu waje zaidi ya Lissu, hamuoni CCM wanakodi mpaka wasanii ili wajaze uwanja?

CHADEMA mnafeli, Katibu Mkuu umefeli.

Kiujumla mmefeli nyote na mkiendelea hivyo hivyo mtapoteza mvuto kabisa.
Dr. Slaa alipambana wkt wa jk kipindi Tz kuna democrasia

Kipindi hk Tz ipo chini ya shetani mazingira ni magumu sn kisiasa

Hivyo upinzani wa sasa ni imara zaidi kuliko huo wa Dr.slaa unaousema
 
Hata kama tunakichukia chama fulani kwa sababu tu wewe ni mshabiki wa chama fulani Ubinaadamu na Uungwana ni kitu muhimu sana na ni vema tukatambua kuwa mara nyingi 1. MANENO UUMBA 2. KABLA UJAFA HAUJAUMBIKA 3. MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI. sasa wewe unayeandika hivi kwa kujiona tu umzima bila kujua kuwa hicho unachojivunia ni Mungu aliyetaka uwe hivyo na hizo dhihaka unazozitoa kwa Lissu tambua kuwa Mungu pia ametaka Lissu awe hivyo. Hivi amjifunzi viongozi wangapi wa CCM walikuwa wazima wakati Lissu anapigwa Lisasi na wapo waliotoa kejeli kama wewe lakini leo hii wameishaoza ardhini? Jitafakari sana kwa hiki ulichokiandika.

Si ajabu hapo kavimbiwa pilau la kampeni Na nauli aliyopewa anajiona amefika peponi.
 
Image


Rais Mtarajiwa wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Chadema Mh Tundu Lissu, ambaye wachambuzi wa kisiasa wanamkadiria kujinyakulia zaidi ya 70% ya kura zote, leo tena anaingia kwenye viwanja vya Tanganyika Packers kuongea na wananchi.

=====
LIVE FEED:



MBOWE: HATUOGOPI TBC WALA SERIKALI. TBC WAKIJITAFAKARI TUPO TAYARI KUWASAMEHE

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akiwa katika Kampeni za CHADEMA, Kawe Jijini Dar amesema jana katika Mkutano wao wa Mbagala waliwataka TBC kuondoka, jambo lililopokelewa vema na Watanzania wengi husasan wale wanaopenda Uandishi wa Habari wa haki

Amesema, "Napenda niwaambie Wanahabari wote, Chama chetu kinaamini katika Uhuru wa Habari, kinamini katika Uandishi wa Habari unaofanywa kwa Weledi, usio na upendeleo"

Amesisita, "Chombo chochote kinachotaka kutoa taarifa zetu, tunakiruhusu, tunakikaribisha, tutashirikiana nacho lakini kitoe taarifa za ukweli bila upendeleo bila ushabiki"

Ameongeza, "TBC wametoa tamko. Wanasema taarifa wametoa Polisi, sisi taarifa tumetoa kwa Mungu. Tunapenda kuwambia TBC, Polisi imekuwa sehemu ya maisha yetu wala hatutishwi na mtu kwenda Polisi kutushtaki"

Amesema TBC wajitafakari na wakiona wapo tayari kufanya kazi kwa uadilifu, CHADEMA ipo tayari kuwasamehe ila sio kutishana kwa sababu wao hawaiogopi TBC wals Serikali ila wanawaheshimu wote na taaluma ya habari

 
Back
Top Bottom