Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Giles alikua akitembea matako yanatikisika kwa nguvu 😄😄
Matako yalikua laini sana kiasi cha kumshinda ku yacontrol. Alitubeba wanaume wengi sana huko PM kwake kama ni bus ziende 5 mbeya na zirudi 5 Dar na ziende tena kisha ndo zirudi apande na yeye.
 
Yupo kikaangoni court kesi ya domestic abuse. Kisa michepuko on steroids.
Duh sikua nimefuatilia mkuu,lile tundu hua sio la mchezo mchezo.Sura yake hua haieleweki Sana lkn utamu wake nao si haba.
 
Aise kumbe ni bonge la lecture hili.
Ila jameni uzinzi raha. Yaani wanawake watamu asikwambie mtu. Ile burudani wakati wa kugegedana acheni tuu. Wacha tuburudike na le mbususu hayo madhara yake tutajuaga huko huko mbele ya safari
Duh nawewe hatari hiyo yaani elimu imetolewa na wadau wewe bado!
 
😄😄😄😄😄 Sijui alifikiria Nini kujiita vile na kuandika Yale aliyoaandika 😄😄
Nilimtongoza na aliniweka kwenye 18.... watu wakasanuka ikabidi melo aingilie kati mwamba akaunganishiwa ID hahahaha huyu jamaa ningekua mimi nisingerudi JF.
 
Mbaya zaidi unapoenda kufanya uzinzi kwa gharama kubwa huku nyumbani kwako ukiwa hujaacha hata senti moja
Nyie acheni hizo huo ni uchoyo wa kutaka vya Duniani mle wenyewe!!....yaani unatakaa wengine wasije Duniani?? wewe unajuaje labda ulipatikana kwa style ya mbuzi kagoma mwendo?? je!

tena kile cha faster utasikia ''fanyaga haraka Baba anapitaga hapahapa'' wkt huo mkono mmoja umeinuka juu na mfuko wa nyanya ulizo tumwa sokoni....!

Mleta Mada ana sononi la kudumu!!! yaani utamu woooote uleeeeeee!.....mpaka mtu unafumba macho?? yeye sijui anasikiagaje?? km anakatwa visu au..
 
Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.

Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.

Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.

Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.

Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Simulia nini kilikupata kinaweza kuwa ni ufunguo kwa wengine
 
Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.

Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.

Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.

Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.

Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Ya ivo yako kote kote!! hakuna palipo salama linapokuja suala la shida kinyota hata ke wanaiba sana nyota za me''...........kama laikufanyia baya wakulaumiwa ni wewe kwani huna akili za kujua baya na zuri weye??

kwanza hao me! sisi tuna wazaa hawatusumbui kabisaaa, ataanzia wapi???
 
Wasiochovya chovya hawana mapungufu yoyote, Bali ni kujitambuwa tu, umalaya ni gharama kwahiyo lazima uchaguwe priority zako ni zipi?

Kuna umri wa kutengeza familia imara na best future, unaodhani wanakuzimia Leo ukija kupauka utaanza kuwakimbia wewe kabla hujakimbiwa.

Ni kweli Brother mapenzi ya transactions hayana kupendana zaidi ya biashara, ukipauka na kuzeeka unarudi kwa mkeo na watoto wako ambao ulikuwa unawachukulia poa..

Hapo ndio unaona mtu mzima analalamika watoto hawana time nae, wamelishwa sumu na mama yao kumbe kile kipindi watoto wanakuhitaji, upo busy bar unagonga glass na nyamachoma,

Ukirudi umelewa, unawapigia mama yao na kuwatusi kiasi cha wao kuona unafuu wa kuishi bila uwepo wako. Inasikitisha #FamilyFirst
 
Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.

Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.

Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.

Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.

Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Simulia tu, ili wanawake wanzio wapate funzo
 
Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.

Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.

Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.

Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.

Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Funguka
 
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.

Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.

Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?

Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.

Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.

Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.

Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
[emoji3][emoji2][emoji2][emoji3] Mkuu me nimewahi kumfata dem Singida ambae sijawahi kumuona(na ndo ilikuwa mara ya kwanza kufika Singida) nikafika nikachukua lodge nikaandaa na msosi afu inatokea manzi mbovu mno afu ina mtoto mgongoni. Yule mtoto kama katumwa ukimgusa mama yake kinalia .nili mind kweli tulikuwa tepanga kukaa siku3 nikamwambia nimepata dharura kesho yake nikapita hivi. Apo nishaingia gharama si chini ya laki na nusu na simu ya mkononi kama zawadi.
 
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.

Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.

Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?

Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.

Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.

Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.

Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
Kwani hana tundu la ziada (by pass) au nalo huwa linavuja
 
Back
Top Bottom