Hearly Loyalty
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 411
- 370
Naona ktk hii thread wote hamfanyi uzinzi Aiseee nawapa Hongera sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732] kmmkAise kumbe ni bonge la lecture hili.
Ila jameni uzinzi raha. Yaani wanawake watamu asikwambie mtu. Ile burudani wakati wa kugegedana acheni tuu. Wacha tuburudike na le mbususu hayo madhara yake tutajuaga huko huko mbele ya safari
Sindio hapo [emoji1787]Sasa kama ni hatari kwa kizazi chako sii simple tuu, tomber lakini usizalishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wamesha wasaidia sana hao watu uliowataja ktk hayo makundi lakini wakapokea disappoinment maisha haya we yaache tu kama yalivyo aiseeNa imeonekana kama ni fahari hivi, tunajisifu kwa kugharamia uzinzi kwa laki,laki 2 lak 3...lakini watu wetu wa karibu wana changamoto lukuki ambazo zingeweza suluhishwa na hizo pesa(wazazi,kaka,dada,wagonjwa kwenye familia,watoto,mke)...na mbaya zaidi wengine ni watu waliotupigania sana kufika hapa tulipo na tunaona tumefanya maamuzi sahihi kabisa...tunaishi maisha ya unafiki sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mdogo wangu huwa nakuona unapenda sana ishu za kunyonya vinyelo...lakini nikuambie tu haya mambo mwisho wake huwa ni mbaya sana......mimi nipo kwenye sekta ya afya najionea mengi sana
But kifo ni sehemu ya ustawi wa maisha pia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usiwe Ivo bas tafadhali....unaonekana hujali kitu...plzz[emoji120][emoji120]
[emoji1787]Huo uongo..acheni illusion za kishenzi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yeah,kama Hana watoto afe tuBut kifo ni sehemu ya ustawi wa maisha pia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta mpenzi mwenyewe hela yake🤣😘🤣🤣 bro hawa wanawake ata wawe na biliion wao wanataka kula zako tuu. Wee cha msingi hakikisha unapata mbususu yako on regular basis basi.Mimi nimeishi sana maisha ya kuwa decent ni kweli nakubali uzinzi una risk kubwa Sana Hilo sipingi
Lakini ktk hii era tuliyo nayo niseme tu ukweli kuwa decent ni kujitafutia matatizo maana utatendwa mpaka ukome na hautokuwa na option
Mtu ukipata nafasi ya kufanya uzinzi fanya tu tena +ombana sana but make sure inakuwa kimya kimya usifanye show off kwaajili ya kulinda heshima Yako in public katk hii Dunia hakuna ambaye Hana madhaifu wewe Tiana tu Kwa Raha zako ila usiwe yule Malaya wa wazi wazi na ilikuepuka bankrupt make sure hutumii nguvu kubwa ya Pesa zako ktk uzinzi ukiwa na hela tafuta mpenzi mwenye hela pia kuepuka usumbufu wa kijinga jinga
😳kwahiyo tusiokuwa Nazo tuliwe na kina naniMimi nimeishi sana maisha ya kuwa decent ni kweli nakubali uzinzi una risk kubwa Sana Hilo sipingi
Lakini ktk hii era tuliyo nayo niseme tu ukweli kuwa decent ni kujitafutia matatizo maana utatendwa mpaka ukome na hautokuwa na option
Mtu ukipata nafasi ya kufanya uzinzi fanya tu tena +ombana sana but make sure inakuwa kimya kimya usifanye show off kwaajili ya kulinda heshima Yako in public katk hii Dunia hakuna ambaye Hana madhaifu wewe Tiana tu Kwa Raha zako ila usiwe yule Malaya wa wazi wazi na ilikuepuka bankrupt make sure hutumii nguvu kubwa ya Pesa zako ktk uzinzi ukiwa na hela tafuta mpenzi mwenye hela pia kuepuka usumbufu wa kijinga jinga
Kwanza wanawake wengi now days wanafanya hayo mambo tena usipomla akiwa ktk tarehe zake ana kushangaa Dunia imebadilika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna jamaa iliwah mtokea hyo ila alikula mzigo hvyo hvyo kwa siku mbili
🤣Kumbe hujanisahau mpaka Leo lile andiko langu.Aisee,kiukweli niliweweseka sana🙌Tafuta mpenzi mwenyewe hela yake🤣😘🤣🤣 bro hawa wanawake ata wawe na biliion wao wanataka kula zako tuu. Wee cha msingi hakikisha unapata mbususu yako on regular basis basi.
Beesmom anunua bia ya buku tano tuu wiki nzima roho inauma🤣🤣🤣🤣 hao ndio wanawake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakubaliana na hoja yako lakini uzinzi haukwepeki kwa namna yoyote ile sema tutapunguza tu,
Hayo mambo yapo kiroho zaidi, ikiwa adam ambae hakua anajua lolote alizini mimi ni nani niweze kukwepa ilihali najua kila aina ya ladha za uzinzi wenyewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatujaja duniani kuishi milele. there is no perfect body..it all goes down the grave ..be happy for the moment life gives you mbususu's
Sasa kwa nini uweweseke wakati jamaa yeye anakuhudumiaga.🤣Kumbe hujanisahau mpaka Leo lile andiko langu.Aisee,kiukweli niliweweseka sana🙌
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] katulia hataki kuonekana mzinzi [emoji1787]mzabzab na jiwe angavu naona mmesimama kidete kwel kwel kutetea walio wengi ambao humu wanapita kimya kimya ila wanawaunga mkono kwa dhat ya mioyo yao ila kwa unafik hawatak kujitokeza.Ngono inapendwa na weengi jamani tuseme tu ukwel mwanamke mmoja kwa mwanaume asiye na shida kiafya wala hamtoshelezi..Siungi mkono zinaa ila huo ndio ukweli.. cha msingi omba Mungu akuepushe na magonjwa na mabalaa ya zinaa ila wengi tunafanya kwakua ndio bas tu ni nature..
Beesmom leo naona umekaa kwa kutulia humu ndani [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha basi kuanza kutupiga kamba zisizoumiza
Haina shida mtuzalishe tuSasa kwa nini uweweseke wakati jamaa yeye anakuhudumiaga.
Nyie ndio mzinguaga mnafanya wanaume wasione umuhimu wa kuoa....bora kuzalisha masingle maza tuu