sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
mkuu, naskia sisi wa africa mfano wabongo kwenye swala la hii sayansi, tunaitumia kama toys za watoto kuchezea watu usiku, kushushana maendeleo, malimbwata, chuma ulete, wanasema ni level ya chini mno kwenye haya mambo, huko kwa wajerumani naskia teknolojia hii ina usiri mkubwa mno na ni level za juu sana ndio maana hata huku walivamia hata makabila yaliyotukuka kwa ushirikina, N.B muingereza alikuja baadae sana baada ya mjerumani kusafisha njia.Dah ni kweli mkuu .. Mambo mengi nilipitiwa ngoja wiki hii nione
Wajerumani kwenye hizo mambo wako vizuri mno
Tuna mipaka na kikomo cha uwezo.. Tuna level zetu pia na kikomo cha umbali...mkuu, naskia sisi wa africa mfano wabongo kwenye swala la hii sayansi, tunaitumia kama toys za watoto kuchezea watu usiku, kushushana maendeleo, malimbwata, chuma ulete, wanasema ni level ya chini mno kwenye haya mambo, huko kwa wajerumani naskia teknolojia hii ina usiri mkubwa mno na ni level za juu sana ndio maana hata huku walivamia hata makabila yaliyotukuka kwa ushirikina, N.B muingereza alikuja baadae sana baada ya mjerumani kusafisha njia.
Je, uzito wa teknolojia ya hao jamaa unajulikana huko vilingeni kwenu?
Kwa hiyo unamaanisha mchawi wa kiswahili hana uwezo wa kumpiga rada mchawi wa kijerumani?Tuna mipaka na kikomo cha uwezo.. Tuna level zetu pia na kikomo cha umbali...
Hawa jamaa hapana aisee 😂 Wana mambo Yao, huenda hata kinjikitile ngwale aliwachanjia wapiganaji wetu Kinga za kidono (zinadaiwa kukinga silaha) ila mjerumani alishausoma mchezo zamani aka bypass hio security.Tuna mipaka na kikomo cha uwezo.. Tuna level zetu pia na kikomo cha umbali...
Mpaka leo nasimuliwa ushirikina ila sijawahi kuuona kwa macho kwa kweliNknk
- Uliwahi kurogwa?
- Uliwahi kuroga?
- Una chale mwilini?
- Ulisimuliwa tuu?
- Ulishawahi kupewa masharti magumu yasiyotekelezeka?
- Ulishawahi kudalaliwa?
- Ulishawahi kutapeliwa?
- Una hirizi?
- Ulishawahi kunyweshwa kombe?
- Ulishawahi kuzikiri uchi? Makaburini?
- Ulishawahi kuvunja nazi njia panda?
Uzoefu wako ni upi hasa...! FUNGUKAAA...!!! Dunia ya ushirikina ni pana sana... Na kama bado hujaishiriki basi kuna hiki chuo cha maisha hujafuzu! Sometimes ni muhimu kuroga japo kidogo tu ili uongeze cv yako...!
Hii mada vipiHapana hii ni ufundi wa aina yake na wanaouweza ni wachache sana.. Yaani kuweza kumvuta mtu mpaka kwenye karai la maji nitakuja na mada yake usijali
Point I ya msingi ni kuwa, hakuna atakaye jitangaza anapenda kwa mganga, wengi Wanaenda wakiwa kwenye matatizo au wakitaka kifanikiwa, ila usitegemee mtu bakibakushauri kwenda huko mara nyingi ni ndugu wa karibu sana ama rafiki wa karibu sana ndio atakwambia uende huko na mu huyo ujue kidogo anakumini ila hivi hivi hakuna anayekiri kwenda wala kjua ugangaNknk
- Uliwahi kurogwa?
- Uliwahi kuroga?
- Una chale mwilini?
- Ulisimuliwa tuu?
- Ulishawahi kupewa masharti magumu yasiyotekelezeka?
- Ulishawahi kudalaliwa?
- Ulishawahi kutapeliwa?
- Una hirizi?
- Ulishawahi kunyweshwa kombe?
- Ulishawahi kuzikiri uchi? Makaburini?
- Ulishawahi kuvunja nazi njia panda?
Uzoefu wako ni upi hasa...! FUNGUKAAA...!!! Dunia ya ushirikina ni pana sana... Na kama bado hujaishiriki basi kuna hiki chuo cha maisha hujafuzu! Sometimes ni muhimu kuroga japo kidogo tu ili uongeze cv yako...!
Huyo demu alikupeleka wewe ila aliishawahi kablanilisimdikiza demu wangu kipindi fulani kwa mganga.
ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda.
tumefika kwa huyo mzee foleni ni kubwa watu ni wengi!demu wangu alikuwa kavaa suruali wamama wakamuwahi kumvalisha kanga huku wakilalamika!!
kwamba ukienda kwa BABU umevaa kihuni anaghadhibika hivyo watu wote siku hiyo hawatapewa tiba!hata ukienda umevaa KEPU ni shida.
kwa yule mzee haiingii mtu mmoja mmoja mnaingia hata 10 kwa mkupuo na kila mtu atasema shida zake hapo huku wengine mkisikia!!
ndani kuna vitu vya ajabu sana niliviona!
ukutani pamebandikwa picha za yesu huku pembeni AYA ZA QURANI na KAABA!
chini kumejaa vikaragosi na ngozi za wanyama ndio mnakalia!
kila mtu anaeleza shida yake kisha anaandikiwa kikaratasi cha dawa(prescription).
demu wangu yeye alikuwa amefata dawa ya biashara ili apate wateja!
mi nikaulizwa shida yangu nikawa najiuma uma!!nikajibu mi sina shida mzee....ALICHEKA SANA
akaniambia hamna binadamu hana shida duniani!akaniandikia maelekezo ya dawa nikatoka!pesa unaweka shulingi 200 kwenye kibuyu!yaani anasema yeye huwa hashiki pesa mkononi...
nikapewa madawa ya kuoga na kufkiza halafu ingine km mkaa najipaka muda nalala!!
acha kabisaaa usiku nilikuwa natokewa na vitu vya hatari na vya ajabu ajabu!nikasema hapana aseee!
nikatemana nazo hizo madawa!
ila sikuwa naamini mambo hayo lakini kwa mauza uza nilikuwa nayaona nikaanza kuamini labda huyu mzee anataka kuniletea shida sababu nilisema SINA..
Niliroga.
Sharti moja wapo gumu lilikuwa kuachwa kwenye makaburi saa 9 usiku,
Bora yangekuwa makaburi ya huku kwetu Mwananyamala ningejua nikimbilie wapi nikisikia vishindo maana vinjia vyote navijua, ila si ya kule Iringa maana yalinishinda...
Mganga kaniacha mwenyewe sekunde 5 tu juu ya kaburi, weeee nikamkimbilia nikamwambia siwezi hata kidogo.
Na kazi ikaishia hapo.
Makaburi ni ishu ingine shem Mshana Jr
Niielekeze kwa huyo mzee watu wananiibia ndizi shambani kwangu tafadhari@Mshana Jr umenifanya nikumbuke mbali sana....
Ni kati ya mwaka 2006 na 2008 kipindi niko secondary huko Shinyanga. Shybush kwa utani.. kulitokea mwamba akasepa na kitita Changu ilikuwa ni laki 3 bwana nimempanga mzee na nimekuja nayo shule... sasa Ile peered pressure nikaamua niende maganzo kumtafuta witch doctor [emoji16] nikapewa maelekezo kuwa kuna kijiji kimoja kipo maeneo ya ibadakuli kuwa kuna Bibi kizee ni hatari kubwa... wakati huo hata siamini kama wanaweza kunisaidia...
[emoji851][emoji851]Duuh Yaani mzee kwa mara ya Kwanza naona television screen kwenye beseni Yaani mchezo wote utadhani Movie... [emoji15]duuh Yaani bedmate wangu ndo alinifanyia huo wizi....Halafu mzee akaniuliza unataka nimfanye nini?? Yaani moyo Ulikuwa unadunda vibaya sana. Nilimuomba tu aache kumdhuru na niliweka Buku 5 kwenye kijichungu fulani hivi...
Uchawi Upo wakuu [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
HAHAHAHA[emoji23] Pole sana sheeNiliroga.
Sharti moja wapo gumu lilikuwa kuachwa kwenye makaburi saa 9 usiku,
Bora yangekuwa makaburi ya huku kwetu Mwananyamala ningejua nikimbilie wapi nikisikia vishindo maana vinjia vyote navijua, ila si ya kule Iringa maana yalinishinda...
Mganga kaniacha mwenyewe sekunde 5 tu juu ya kaburi, weeee nikamkimbilia nikamwambia siwezi hata kidogo.
Na kazi ikaishia hapo.
Makaburi ni ishu ingine shem Mshana Jr
Ngoja niseme vile Kwanza hakuna atakaye nijua. Story iko hivi tokea utoto mimi niliteseka kutokana na familia nilipozaliwa mama yangu mkubwa nihatari kwenye hizo mambo nilikuwa naumwa nihatari nakandamizwa usiku ni balaa sasa siku moja nikiwa na umri wa miaka kama 15 dingi akashitukia isseu akaniambia niende nikachimbe mizizi ya mti fulani hivi maana siujui jina kwa kiswahili. Na aina nyingine ni ule makabila mengi tumezoea kuita msongwa. Nikaleta akaniambia nikate kucha zote za mikononi na miguuni nizikusanye, alafu niende haja kubwa na ndogo kisha mzizi wa msongwa nidokoe haja kubwa kidogo na ule mwingine haja ndogo. Akaongezea kipande cha nyoka fulani hivi huwa anawaka usiku mgongoni anakamstari hivi.Akatafuta kigae akakoka moto nje akaweka kigae motoni. Naihivyo nilivyo tayarisha vikaungua vikabaki mkaa akanichanja kuanzia hapo hakuna mchawi alinyonya damu yangu.Nknk
- Uliwahi kurogwa?
- Uliwahi kuroga?
- Una chale mwilini?
- Ulisimuliwa tuu?
- Ulishawahi kupewa masharti magumu yasiyotekelezeka?
- Ulishawahi kudalaliwa?
- Ulishawahi kutapeliwa?
- Una hirizi?
- Ulishawahi kunyweshwa kombe?
- Ulishawahi kuzikiri uchi? Makaburini?
- Ulishawahi kuvunja nazi njia panda?
Uzoefu wako ni upi hasa...! FUNGUKAAA...!!! Dunia ya ushirikina ni pana sana... Na kama bado hujaishiriki basi kuna hiki chuo cha maisha hujafuzu! Sometimes ni muhimu kuroga japo kidogo tu ili uongeze cv yako...!
Duh ilikuwa wapi hii na mwaka gani?Ngoja niseme vile Kwanza hakuna atakaye nijua. Story iko hivi tokea utoto mimi niliteseka kutokana na familia nilipozaliwa mama yangu mkubwa nihatari kwenye hizo mambo nilikuwa naumwa nihatari nakandamizwa usiku ni balaa sasa siku moja nikiwa na umri wa miaka kama 15 dingi akashitukia isseu akaniambia niende nikachimbe mizizi ya mti fulani hivi maana siujui jina kwa kiswahili. Na aina nyingine ni ule makabila mengi tumezoea kuita msongwa. Nikaleta akaniambia nikate kucha zote za mikononi na miguuni nizikusanye, alafu niende haja kubwa na ndogo kisha mzizi wa msongwa nidokoe haja kubwa kidogo na ule mwingine haja ndogo. Akaongezea kipande cha nyoka fulani hivi huwa anawaka usiku mgongoni anakamstari hivi.Akatafuta kigae akakoka moto nje akaweka kigae motoni. Naihivyo nilivyo tayarisha vikaungua vikabaki mkaa akanichanja kuanzia hapo hakuna mchawi alinyonya damu yangu.
Nikiwa na miaka 15 mwaka 1996 si unajua dawa zina expai nimefika umri wa miaka 38 nikaona kama wanaanza kujaribu bahati yao nikaenda kujiongeza hapo ndio na ujuzi ukaongeka mzee nikaongeza miti kama mitatu aisee kilichotokea ni story ndefuDuh ilikuwa wapi hii na mwaka gani?