Hefu nipe kidogo tafadhaliNikiwa na miaka 15 mwaka 1996 si unajua dawa zina expai nimefika umri wa miaka 38 nikaona kama wanaanza kujaribu bahati yao nikaenda kujiongeza hapo ndio na ujuzi ukaongeka mzee nikaongeza miti kama mitatu aisee kilichotokea ni story ndefu
Mkuu cha kukupa hapo ni kwamba nilijiongeza zaidi kwenye ile ya kwanza nikaongezea miti mitatu ukiwemo mbaazi nakizimba kimoja ambacho ni ngozi ya chatu. Sasa siku moja baada ya kujiweka sawa nikaenda maeneo ya mbalali nilikokuwa nafanyia kazi. Ile nafika kama leo usiku,hakuna kilichotokea maana hawakujua kama nimeludi. Kama unavyojua tabia za vijijini, kesho yake sasa nimejilaza tu kitandani niko na smartphone yangu nikashangaa usingizi sio usingizi kama nataka kubanwa ivi nikajikuta narusha mguu ninajua wenyewe hawa nikafyolea tu nikaambiwa utakufa shauli yako, nililala paka asubuhi bila shida yoyote. Asubuhi wananiangalia tu vile hawakunifaidi. Tokea hapo sijawahi lala nikandamizweHefu nipe kidogo tafadhali
Pesa ni mzigo mzito kwanini akaibe bank wakati akitaka kitu atakipata bila pesa?Kwanini wachawi msiende kuiba Bank? Na Kwanini mtu mchawi anaroga mpaka watoto wake,ndugu au wazazi wake? Uchawi una faida gani kwa mtu?
Mshana Jr Uchawi umekusaidia nn?
Leta Mbinu niapplyNikiwa na miaka 15 mwaka 1996 si unajua dawa zina expai nimefika umri wa miaka 38 nikaona kama wanaanza kujaribu bahati yao nikaenda kujiongeza hapo ndio na ujuzi ukaongeka mzee nikaongeza miti kama mitatu aisee kilichotokea ni story ndefu
Kwa Nini wachawi wa kiafrika wanaroga sana,Pesa ni mzigo mzito kwanini akaibe bank wakati akitaka kitu atakipata bila pesa?
Kuroga mpaka ndugu hiyo ni hulka mpaka nje ya uchawi... Kuna watu huchukiana bila sababu ama kwa sababu maalum
Mimi binafsi uchawi umenisaidia kuufahamu ulimwengu wa giza katika uhalisia wake ukiaachana na zile hadithi za kubuni
Mm nimeibiwa propela shaft na status ya scania na site Mira jumla milioni na laki tano HV nimefurugwa apa hatari nawaza napata wapi pesa za kununua vifaa vya watu ..huyu mzee nampataje ata kwa simu tu@Mshana Jr umenifanya nikumbuke mbali sana....
Ni kati ya mwaka 2006 na 2008 kipindi niko secondary huko Shinyanga. Shybush kwa utani.. kulitokea mwamba akasepa na kitita Changu ilikuwa ni laki 3 bwana nimempanga mzee na nimekuja nayo shule... sasa Ile peered pressure nikaamua niende maganzo kumtafuta witch doctor [emoji16] nikapewa maelekezo kuwa kuna kijiji kimoja kipo maeneo ya ibadakuli kuwa kuna Bibi kizee ni hatari kubwa... wakati huo hata siamini kama wanaweza kunisaidia...
[emoji851][emoji851]Duuh Yaani mzee kwa mara ya Kwanza naona television screen kwenye beseni Yaani mchezo wote utadhani Movie... [emoji15]duuh Yaani bedmate wangu ndo alinifanyia huo wizi....Halafu mzee akaniuliza unataka nimfanye nini?? Yaani moyo Ulikuwa unadunda vibaya sana. Nilimuomba tu aache kumdhuru na niliweka Buku 5 kwenye kijichungu fulani hivi...
Uchawi Upo wakuu [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Ndugu yangu hapa mimi nilikuwa najilinda tu. Sasa swali kwa Mshana na mimi nitakuwa kwenye katika kundi la wachawi? Mshana Jr naomba majibu.Leta Mbinu niapply
Ahsante Mshana Jr ila ila saizi napenda kumtumikia MunguHapana wewe ukichofanya ni kinga na ulinzi binafsi
Mbona wachawi wengi ni fukara sana mkuu, hawana mbele wala nyuma.....mfano kuna sehemu naijua mtu analeta Funza kwenye jamii au Ugonjwa, ila nayeye anaathirika vibaya.......Pesa ni mzigo mzito kwanini akaibe bank wakati akitaka kitu atakipata bila pesa?
Kuroga mpaka ndugu hiyo ni hulka mpaka nje ya uchawi... Kuna watu huchukiana bila sababu ama kwa sababu maalum
Mimi binafsi uchawi umenisaidia kuufahamu ulimwengu wa giza katika uhalisia wake ukiaachana na zile hadithi za kubuni
Hawana faida na ulimwengu wa kisasa.. Hawana changamoto zozote za maendeleo .. Wao kazi yao waumize waharibu waueMbona wachawi wengi ni fukara sana mkuu, hawana mbele wala nyuma.....mfano kuna sehemu naijua mtu analeta Funza kwenye jamii au Ugonjwa, ila nayeye anaathirika vibaya.......
Sasa huko gizani hamshauriani? Maana unakuta mtu hadi familia yake inaumia kwa huo uchawiHawana faida na ulimwengu wa kisasa.. Hawana changamoto zozote za maendeleo .. Wao kazi yao waumize waharibu waue
AminaHuyo ndio kiboko yetu wote..barikiwa mnoo
nina hirizi kubwa mno niliambiwa niwe naiweka uvungu wa kitanda,siku mke wangu akiiona sijui nitamwambia nini mlokole yuleNknk
- Uliwahi kurogwa?
- Uliwahi kuroga?
- Una chale mwilini?
- Ulisimuliwa tuu?
- Ulishawahi kupewa masharti magumu yasiyotekelezeka?
- Ulishawahi kudalaliwa?
- Ulishawahi kutapeliwa?
- Una hirizi?
- Ulishawahi kunyweshwa kombe?
- Ulishawahi kuzikiri uchi? Makaburini?
- Ulishawahi kuvunja nazi njia panda?
Uzoefu wako ni upi hasa...! FUNGUKAAA...!!! Dunia ya ushirikina ni pana sana... Na kama bado hujaishiriki basi kuna hiki chuo cha maisha hujafuzu! Sometimes ni muhimu kuroga japo kidogo tu ili uongeze cv yako...!