Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Nimestuka unataka kuleft group🤣😹😹😹 Hawezi, kuna vitu kwa mwanaume ni vitamu sana..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimestuka unataka kuleft group🤣😹😹😹 Hawezi, kuna vitu kwa mwanaume ni vitamu sana..!!
Sasa Gran Pah si unge mtag kabisaa.The One and Only One Mama E.
Wewe ni binadamu wa kipekee sana.
Wewe ni rafiki yangu wa kweli.
Wewe unayajua maisha mno.
Wewe ni mwanamke wa Mithali 31
Wewe ni mshikaji wangu wa kudumu!
Wewe ni ua waridi lenye fumbo
Wewe ni shairi tamu litoneshalo mtima
Wewe ni hadithi tonofu isiyo na mwisho
Oooh! Binti mwema asiye na mawaa
Mpendwa wangu nipendezwaye nawe sana.
Happy Valentines rafiki yangu mwema. Mungu Akubariki na Azidi kukulinda.
Mimi nitakupenda na kukuenzi daima.
Upo! Nipo! Tupo! [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji8][emoji8][emoji8]
View attachment 3232669
[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Asante kwa kuokoa maisha yangu. Sitasahau kamwe! [emoji1545]
Kwa hiyo mimi niko serious wewe unadhani utani eti?😹😹😹 Nikupe namba zake kweli??
Bahati mbaya ana miaka miwili+ hayupo JF 😭
PopoteTulio single tulike wapi mtoa mada!
Naleft naenda wapi? Hapa nataka nimuombe Shimba ya Buyenze km ana mdogo wake anipe wasukuma hakunaga tatizo la pesa wala nguvu za kiume show show 😹😹🏃♀️🏃♀️Nimestuka unataka kuleft group🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah unaniangusha bhana, wee jua Watu wanapatana huko nje, kupitia JF ya Mello.Eeh hii umeiweka kicode sana, funguka shost [emoji1]
😂 anapata wakati mgumuJeiefu wafanye mpango wa kuongeza wanawake humu iwe kama fesibuku tu, yaani mpaka sasa ephen_ mmoja huyu huyu tunamgombe mabeberu tisa, sasa atajigawa vipi!
Aiseeeh yaan hili huba ulioandika, ilibidi liambatane na jina la muhusika.Bahati mbaya ana miaka miwili+ hayupo JF [emoji24]
cocastic ile profile picture ya kwanza naomba irudishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah unaniangusha bhana, wee jua Watu wanapatana huko nje, kupitia JF ya Mello.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Tumepokea ndugu yetu.Happy valentine nduguzangu
Tunashukuru sana.Nawatakia valentine njema Wana jamii forum wote wake kwa waume pamoja na familia zenu..... Bila kusahau wakaka na wadada,, kataa ndoa wote pamoja na ma jobless wote happy valentine kwenu nyote.
Sawa kakaTumepokea ndugu yetu.
Hahahaha,,dohNampenda huyo kaka SL niweke basi kwa tall,black,and millionaire ♥️ ❤️
Asante mkuu.