Valentine hiyoo, kama unampenda mtu mwambie kupitia hii post

Valentine hiyoo, kama unampenda mtu mwambie kupitia hii post

The One and Only One Mama E.

Wewe ni binadamu wa kipekee sana.
Wewe ni rafiki yangu wa kweli.
Wewe unayajua maisha mno.
Wewe ni mwanamke wa Mithali 31
Wewe ni mshikaji wangu wa kudumu!

Wewe ni ua waridi lenye fumbo
Wewe ni shairi tamu litoneshalo mtima
Wewe ni hadithi tonofu isiyo na mwisho
Oooh! Binti mwema asiye na mawaa
Mpendwa wangu nipendezwaye nawe sana.

Happy Valentines rafiki yangu mwema. Mungu Akubariki na Azidi kukulinda.

Mimi nitakupenda na kukuenzi daima.
Upo! Nipo! Tupo! Njoo! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿😘😘😘

Nakupenda Mama E (1).jpg


➡️➡️➡️ Asante kwa kuokoa maisha yangu. Sitasahau kamwe! 🙏🏿
 
Mama E.

Wewe ni binadamu wa kipekee sana.
Wewe ni rafiki yangu wa kweli.
Wewe unayajua maisha mno.
Wewe ni mwanamke wa Mithali 31
Wewe ni mshikaji wangu wa kudumu!

Wewe ni ua waridi lenye fumbo
Wewe ni shairi tamu litoneshalo mtima
Wewe ni hadithi tonofu isiyo na mwisho
Oooh! Binti mwema asiye na mawaa
Mpendwa wangu nipendezwaye naye.

Happy Valentines rafiki yangu mwema. Mungu Akubariki na Azidi kukulinda.

Mimi nitakupenda na kukuenzi daima.
Upo! Nipo! Tupo! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿😘😘😘

View attachment 3232669

Asante kwa kuokoa maisha yangu. Sitasahau kamwe! 🙏🏿
Da Evelyn Salt unaitwa 😹😹
 
Mama E.

Wewe ni binadamu wa kipekee sana.
Wewe ni rafiki yangu wa kweli.
Wewe unayajua maisha mno.
Wewe ni mwanamke wa Mithali 31
Wewe ni mshikaji wangu wa kudumu!

Wewe ni ua waridi lenye fumbo
Wewe ni shairi tamu litoneshalo mtima
Wewe ni hadithi tonofu isiyo na mwisho
Oooh! Binti mwema asiye na mawaa
Mpendwa wangu nipendezwaye naye.

Happy Valentines rafiki yangu mwema. Mungu Akubariki na Azidi kukulinda.

Mimi nitakupenda na kukuenzi daima.
Upo! Nipo! Tupo! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿😘😘😘

View attachment 3232669

Asante kwa kuokoa maisha yangu. Sitasahau kamwe! 🙏🏿
Ila wasukuma mna mahaba jamani...
 
Nawatakia valentine njema Wana jamii forum wote wake kwa waume pamoja na familia zenu..... Bila kusahau wakaka na wadada,, kataa ndoa wote pamoja na ma jobless wote happy valentine kwenu nyote.
Asante Sana mkuu, imagine being KATAA NDOA & jobless valentine lazima Inoge sana
 
Ni kazuri sana uongo dhambi....kwani hukuzisave ukikamiss unakaangalia ka aunt ake😂😂😂
Umeona na wewe kalivyo kashunu kale katoto? Pale bro alijua kufanya kweli, apate na mishepu ya auntie zake ya kibantu mbona itakuwa balaa 🥰🥰

Sikusave mwaya, pia nilitaka mpya nimuone anavyozidi kuwa tishio..!! 😹
 
Ila wasukuma mna mahaba jamani...
Jichanganye uone...ila tu uwe mweupe na mwenye tako!

Hapa nimetoka kuuza malori mawili ya ng'ombe pale Pugu. We acha tu! 😁

➡️➡️➡️ On a serious note: Mama E aliokoa maisha yangu tena kwa kujitolea sana. Mwanamke kama huyo utamlipa nini mbali na kumpenda na kumheshimu sana?
 
Jichanganye uone...ila tu uwe mweupe na mwenye tako!

Hapa nimetoka kuuza malori mawili ya ng'ombe pale Pugu. We acha tu! 😁

➡️➡️➡️ On a serious note: Mama E aliokoa maisha yangu tena kwa kujitolea sana. Mwanamke kama huyo utamlipa nini mbali na kumpenda na kumheshimu sana?
Mimi sitaki kujichanganya.....nawaombea kila lenye heri na mama E wako.....mpendane sanaaa
 
Back
Top Bottom