Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kilichobaki ni kupeleka tu jina lake kwa mtalamu,. Wacha nideal nae traditionally saizi sitaki mzaha mwaka huu🤒Weeeh 😹😹😹
Kumbe uko kumfukuzia? Ukimpata nipe mbinu na mimi kuna muungwana nimfukuzie jirani 🤣
😹😹😹 Haki jirani nimecheka balaa..!!Hapa kilichobaki ni kupeleka tu jina lake kwa mtalamu,. Wacha nideal nae traditionally saizi sitaki mzaha mwaka huu🤒
Ee ndiwo,. Mwaka mzima mie najipitisha anajifanya hanioni nadhani wenzangu watakuwa washamfunga macho😬😄😹😹😹 Haki jirani nimecheka balaa..!!
Kwahiyo jina linapelekwa kujadiliwa kiutamaduni??
We mtaje tuu,Mimi kuna katoto nakapenda sana huwa mshua wake anakapost huyo ndio Valentine wangu aisee.!! 🥰
Ningemtaja ila kuna mijitu mtasema nampenda baba mtu humu ndani hamna dogo…!! 😹😹😹
Zinafika kila siku shem.
😹😹 Kwani jirani leo umekunywa nini?Ee ndiwo,. Mwaka mzima mie najipitisha anajifanya hanioni nadhani wenzangu watakuwa washamfunga macho😬😄
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ni Msitu, sio kichaka tena.Seriously question, humu kweli kabisa watu hua wanakutana na kugongana kabisa kabisa au ni flirts tu za kwenye meseji? [emoji848][emoji853]
😹😹😹 Jina la huyo mtoto silijui ningelitaja.We mtaje tuu,
Tutakayosema hayakuhusu.
AsanteeSweetyCandy I love you 😘
Sema da mau viuzi vyako km hivi nilivimiss huwa vinaendaga viral 😹😹Asantee
😬😂😂Aisee halafu kweli saa4 na nusu kabisa hii,. Ngoja nitafute usafiri nianze kurudi nyumbani maana kichwa kishaanza kuwa kizitu o😹😹 Kwani jirani leo umekunywa nini?
Huna gariii😬😂😂Aisee halafu kweli saa4 na nusu kabisa hii,. Ngoja nitafute usafiri nianze kurudi nyumbani maana kichwa kishaanza kuwa kizitu o
Jamani shida nini??Mtaachana tu
naam shemela, ishi Sana.Zinafika kila siku shem.
Endelea jirani nimependa ulivyochangamka 😹😬😂😂Aisee halafu kweli saa4 na nusu kabisa hii,. Ngoja nitafute usafiri nianze kurudi nyumbani maana kichwa kishaanza kuwa kizitu o
Inshallah, I can’t wait!naam shemela, ishi Sana.
sehemu ya nafsi yangu Ina sema, siku 1 nimsalimie !🦅
Tarehe ngapi hiyo, naomba unikumbushe madam.Valentine hiyoo inakuja usikose maua na chocolate mwambie nakupenda ili muende VALENTINE.
Usikae mwenyewe kama mshumaa umejifungia, huu uzi kwa ajili yenu.
Fungukeni mukasherekee kwa pamoja.