Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 Hiyo nipo mafunzoni....Tulia kwanza🥴Hadi kufinyana imo😄😄 itakua na kuifinyia kwa ndani unaweza wewe 😊
the one you love has an x, even you got an x.Hayanaga muongozo...
Unayempenda kampenda mwingine...
Na huyo mwingine nae ana mwingine na huyo mwingine kapendwa na mwingine...
Cc: Mahondaw
Nope avatar za jf ni uongo 😂, nimependa unavopenda hela au basi kijana masikini mfikirie😭Jeeez
😹Ww umependa avatar
Mapenzi hayaa aisee mbona nayapendaaChagua mwenyewe kiwanja. Jukumu langu mimi ni kuandaa tu hela ya kutumia kwa siku hiyo.
Asante sanaNawatakia valentine njema Wana jamii forum wote wake kwa waume pamoja na familia zenu..... Bila kusahau wakaka na wadada,, kataa ndoa wote pamoja na ma jobless wote happy valentine kwenu nyote.
😹😹😹 Sio umeniita kijanja nikutaje?
Happy Valentine tooAsante sana
Ahaha, mimi namkubali yule mwenzio.😹😹😹 Sio umeniita kijanja nikutaje?
Hii sherehe IFUTWE haina maana kwa kizazi cha leo.Valentine hiyoo inakuja usikose maua na chocolate mwambie nakupenda ili muende VALENTINE.
Usikae mwenyewe kama mshumaa umejifungia, huu uzi kwa ajili yenu.
Fungukeni mukasherekee kwa pamoja.
Nnayempenda anajijua sina haja ya kupiga PA 😹😹Ahaha, mimi namkubali yule mwenzio.
Wew mtaje unaempenda.
Acha wivu tafute muke hukuHii sherehe IFUTWE haina maana kwa kizazi cha leo.
😂😂😂 Sina tatizoNope avatar za jf ni uongo 😂, nimependa unavopenda hela au basi kijana masikini mfikirie
Usijali mkuu😂😂😂😂 Sina tatizo
Njoo nikusaidie kutumia izo hela
UKo vzr umeiweka kikubwa zaidi.😀Nnayempenda anajijua sina haja ya kupiga PA 😹😹