leo dada
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 563
- 2,198
Ni ukweliAisee, umeamua kunilamba chenga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ukweliAisee, umeamua kunilamba chenga...
Mbavu zangu 🤣🤣 napenda ulivyo machachari je hata live upo hivyo hivyo au una aibu?🤣🤣🤣🤣
Kama umejua hivi, inakuwa ndiyo mada kuu....then mizuka ...fimbo Tena🥴
😅😅😅unataka kunivunja.Nataka kukufanyia mambo mazuri mpaka ulete ushuhuda hapa Jamvini😂
Nimeshampa kwenye uzi wake kule na msaada ashapata kwa namna moja ama nyingine kutoka kwa wahenga wa humu..Yuko period na maumivu mpe pole kwanza.
Nakuachia huyu kwanza dem mwenyewe hayuko romantiki, ana kiswahili kigumu kama msela, akukubalie tu hiyo valentain mutoke mugongwe na gariUsinitishe ndo nisha fall hivo 😂😂
Maneno haya si mageni masikioni mwangu....Upendo na hela wapi na wapi Goguryeo
Upendo unatosha 😂
😅😅😅😂😂 Tutaje tujue tunagawanaje mda hiyo siku🏃🏿
Sawa..Ni ukweli
Mkuu nimekuachia wewe, muimbishe Hadi u romantic ujeNakuachia huyu kwanza dem mwenyewe hayuko romantiki, ana kiswahili kigumu kama msela, akukubalie tu hiyo valentain matoke mugongwe na gari
Siwezi kukuvunja abadani..Bila shaka wewe sio kama kina Mzee Wasira.😅😅😅unataka kunivunja.
Naongea sana mpenz,aibu mwanzoni mwanzoni...tukizoeana ...Cheka yangu mpaka nikufinye ubavu kimtindo..Mbavu zangu 🤣🤣 napenda ulivyo machachari je hata live upo hivyo hivyo au una aibu?
😭JeeezUsinitishe ndo nisha fall hivo 😂😂
😅😅😅Siwezi kukuvunja abadani..Bila shaka wewe sio kama kina Mzee Wasira.
Engine na body bado mpya kabisaaa.
Hadi kufinyana imo😄😄 itakua na kuifinyia kwa ndani unaweza wewe 😊Naongea sana mpenz,aibu mwanzoni mwanzoni...tukizoeana ...Cheka yangu mpaka nikufinye ubavu kimtindo..
Mama yangu akishaona nimeanza kucheka huku narusha miguu kwa furaha huwa anakimbia🤣🤣🥴