GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Hapana,Je ushawahi kuliamsha nje ya hapa!??
Sijawahi hata kuwa nae wa kudanganyana jukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,Je ushawahi kuliamsha nje ya hapa!??
I love youNasubiria kama napendwa tusubiri au atakuwa amelala
hii laini mno mkuu usiinywe labda umnunulie madam
coochie zinauzwa humu.Seriously question, humu kweli kabisa watu hua wanakutana na kugongana kabisa kabisa au ni flirts tu za kwenye meseji? 🤔🙁
Usinitishe ndo nisha fall hivo 😂😂Wenzako wote wameniogopa😹
Asante sana,,, sipo huko dar!! Naaamini utampata wa kumtoa out.Nataka nikutoe valentine day... nikupeleke mahala ukale kuku mzima wa kienyeji , kuku mkuno au kuku kidebe ushakula hio? chagua wewe mikocheni ,mlimani city au beach ukale kuku na upepo murua Wa bahari...
Sawahii laini mno mkuu usiinywe labda umnunulie madam
Hujaimbisha vizuri, waambie unanukia vizuri (kitu cha English Garden) 😀Humu hawataki cha pombe et😅
Nataka kukufanyia mambo mazuri mpaka ulete ushuhuda hapa Jamvini😂Unataka kunifanyia nini 😅
Aisee, umeamua kunilamba chenga...Asante sana,,, sipo huko dar!! Naaamini utampata wa kumtoa out.
😁😁 kaoneHujaimbisha vizuri, waambie unanukia vizuri (kitu cha English Garden) 😀
😂😂 Tutaje tujue tunagawanaje mda hiyo siku🏃🏿Mtu mmoja au watu 😅 (natania)