Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Njoo Lamomy, unaonekana mlaini laini sana😋😀Sijui niseme au basi 😹
Mariposa mi nakupenda wewe unitoe cheche 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo Lamomy, unaonekana mlaini laini sana😋😀Sijui niseme au basi 😹
Mariposa mi nakupenda wewe unitoe cheche 🤣
Time ya kujua mbivu na mbichi ndo hii sasaValentine hiyoo inakuja usikose maua na chocolate mwambie nakupenda ili muende VALENTINE.
Usikae mwenyewe kama mshumaa umejifungia, huu uzi kwa ajili yenu.
Fungukeni mukasherekee kwa pamoja.
Uzuri wa wasukuma wanamiliki wanawake hata kumi kwao tatizo la nguvu za kiume halipo, wewe sis na wewe jiweke 😹😹Mimi sitaki kujichanganya.....nawaombea kila lenye heri na mama E wako.....mpendane sanaaa
Km sufi mahi 😍Njoo Lamomy, unaonekana mlaini laini sana😋😀
Hamna huyo kaka angu kabisa, yani kabisa kabisa na Mama E ni wifi angu tumbo mojaNi wewe sema anatuogopa wambea 😹😹
Kwahiyo bro umejiokotea Ngosha wako humu??
Mi sitaki nguvu za kiume mi nataka hela🤣🤣🤣🤣Uzuri wa wasukuma wanamiliki wanawake hata kumi kwao tatizo la nguvu za kiume halipo, wewe sis na wewe jiweke 😹😹
Ahsante madam.14 mwezi 2 tafuta kifuta chasho
Weeh.!! Bro bana muongo 😹Hamna huyo kaka angu kabisa, yani kabisa kabisa na Mama E ni wifi angu tumbo moja
Mmh kumekuchaaa...ngoja nimwite tajiriKm sufi mahi 😍
Unitafune mpk vifupa usiache 😹😹
Hao full package utapewa mi ng’ombe mi kazi yangu kutafuta wateja tuziuze..!! 😹😹Mi sitaki nguvu za kiume mi nataka hela🤣🤣🤣🤣
😹😹 Tajiri yupi tena? Lugumi??Mmh kumekuchaaa...ngoja nimwite tajiri
Siwataki bwana mimi,wanajipuliziaga air fresher wanasema perfume ujinga sipendi🤣🤣Hao full package utapewa mi ng’ombe mi kazi yangu kutafuta wateja tuziuze..!! 😹😹
Shauri yako ngoja akuroge😂😹😹 Namzingua dr ninavyopenda dyudyu mimi 🥰
Umeanza 😹😹😹🤣🤣🤣🤣🤣Siwataki bwana mimi,wanajipuliziaga air fresher wanasema perfume ujinga sipendi🤣🤣
😹😹😹 Hawezi, kuna vitu kwa mwanaume ni vitamu sana..!!Shauri yako ngoja akuroge😂
Nampenda huyo kaka SL niweke basi kwa tall,black,and millionaire ♥️ ❤️😹😹 Tajiri yupi tena? Lugumi??
😹😹😹 Nikupe namba zake kweli??Nampenda huyo kaka SL niweke basi kwa tall,black,and millionaire ♥️ ❤️