To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Siwafahamu mkuu,kumfeel mtu humfahamu yahitaji moyo kwa kweliHakuna ninae mfeel.
Wew unamfeel nani sas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwafahamu mkuu,kumfeel mtu humfahamu yahitaji moyo kwa kweliHakuna ninae mfeel.
Wew unamfeel nani sas
PoleValentine imeharibiwa na Yanga. Aaah maumivu tupu
Babu yangu kalala usimsumbue.Nasubiria kama napendwa tusubiri au atakuwa amelala
sasa kama mimi nakuzimia kumbe kuna msela amejiwekea si nitakuwa najitafutia kutekwaKwanini jamani
Ataona kesho ila mmh nimewapa ruksa wengineo wapendwe na vijanaBabu yangu kalala usimsumbue.
kwa hiyo umewasha green light vijana wafunguke ili mkasherehekee?Valentine hiyoo inakuja usikose maua na chocolate mwambie nakupenda ili muende VALENTINE.
Usikae mwenyewe kama mshumaa umejifungia, huu uzi kwa ajili yenu.
Fungukeni mukasherekee kwa pamoja.
Yanaongeleka etisasa kama mimi nakuzimia kumbe kuna msela amejiwekea si nitakuwa najitafutia kutekwa
Siku akianza kukuweka moyoni wewe utakua umeshamchoka 🤣Mie nampenda huyu hapa kijana kampelewele ,. Japo yeye hanipendi tena😔
Safi❤️Nawapenda nyote wenye mioyo ya upendo.
Kunywa bia okoa maji.
wanasema upendo ni kwenye shida na raha, kama unampenda Yanga komaa tu hata kama kashona kijolaValentine imeharibiwa na Yanga. Aaah maumivu tupu
Hujakoma tu nimesikia jambo lako kuwa ulifumaniwa na babe mama nikweliHuyu anayeanza na herufi yaa.... ata sijielewi kabisa; ebu njoo upate mishikaki miwili ya samaki.
Ulitakiwa unitaje mapema kabisa kama mimi ndiye Valentine wako wa miaka yote. 🥰Valentine hiyoo inakuja usikose maua na chocolate mwambie nakupenda ili muende VALENTINE.
Usikae mwenyewe kama mshumaa umejifungia, huu uzi kwa ajili yenu.
Fungukeni mukasherekee kwa pamoja.