Ligi tamu sasa full burudani na inatakiwa iwe bampa to bampa mpaka tare 8 tuone mtanage sasaValentine imeharibiwa na Yanga. Aaah maumivu tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ligi tamu sasa full burudani na inatakiwa iwe bampa to bampa mpaka tare 8 tuone mtanage sasaValentine imeharibiwa na Yanga. Aaah maumivu tupu
ndiyo tuanze kutaongeza hapa hapaYanaongeleka eti
Wanajua huoni hawajichanganyiUlitakiwa unitaje mapema kabisa kama mimi ndiye Valentine wako wa miaka yote. 🥰
Naunalia sasa nani ajeMdada Mmoja ajitokeze kunipenda
❤😘 agati love for evebadeSafi❤️
Ngoja niishie hapa kwanzandiyo tuanze kutaongeza hapa hapa
Yoyote atakayenuhurumia🤭Naunalia sasa nani aje
Sitaki iwe hivyo jamani,. Nisaidie kumtag mwambie Nampenda sana😓.Siku akianza kukuweka moyoni wewe utakua umeshamchoka 🤣
Sikia kwanza, una mtu wa kutoka nae valentine?Nawatakia valentine njema Wana jamii forum wote wake kwa waume pamoja na familia zenu..... Bila kusahau wakaka na wadada,, kataa ndoa wote pamoja na ma jobless wote happy valentine kwenu nyote.
Nani ananipenda humu ndani awe mdadaValentine hiyoo inakuja usikose maua na chocolate mwambie nakupenda ili muende VALENTINE.
Usikae mwenyewe kama mshumaa umejifungia, huu uzi kwa ajili yenu.
Fungukeni mukasherekee kwa pamoja.
NinaeSikia kwanza, una mtu wa kutoka nae valentine?
Namtakia Valentine day babe wangu SweetyCandy. 💝❤️Wanajua huoni hawajichanganyi
😘😘 It sounds good❤😘 agati love for evebade