mpiga domo
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 852
- 1,507
TRA wana sababu za msingi kuweka valuation na hizo ni minimum price ikitokea CIF ya invoice yako iko
chini ya bei yao. Let say mtu mkoko wake wa zaman i for free na gharama yako ikawa ni freight na Insurance
then kwa TRA kupata thamani ya kukutoza kodi lazima wawe na estimate au valuation ya gari husika.
IPSUM 2004.
Kwa mujibu wa TRA Value ya gari hiyo ikiwa mpya kabisa ni US$ 25,014 (Retail Prece) ambapo assumption ni kuwa
bei ina Profit Margin 25%, Import Duty 25% Excise Duty 5% na VAT 18%.
Vyote Hivyo utaviondoa, na mathematically utapata US$ 12,920
Kwa gari ya mwaka 2004, ie umri zaidi ya miaka 9 lakini chini ya miaka 10 linachukuliwa kupungua thamani
kwa 70%. Kwa hiyo itakuwa imebaki na thamani ya 30%
kwa hiyo itakuwa na thamani ya US$ 3,876 (Custom Value - CV)
KODI
Import Duty (ID) 25% of CV US$ 969
Excise Duty 5% of (CV+ID) 242
VAT 18% of (CV+ID+ ED) 916
Total Tax and Duty 2,217
Exchange Rate itakuwa ya siku unayolipia/Assessiwa
Andaa not less tha TZS 500,000 kwa ajili ya clearing agent,
Port Charge, Documentation fee, Fire etc
Mdau
kaka you have break it down well lakin sijakuelewa hapo kwenye Custom Value..umeipataje pataje hyo $ 12,920 from $25,014 ambayo ndo retail selling price...unazidisha the retail price na depreciation au..???what is that you do to exactly to get the Custom Value..if you would break it down in a formulae it would be very helpful..Thank you🙂