SanaMvaa kobazi alimpotezea muda Binti yetu
kijumbe wa vikoba vya wakina mamaNdio nani huyo huko daslamu?
jumaBora huyo kuliko Jukusi
Jimmy kabwe aliwika Sana enzi zake alikua anataka bahati nasibu flan hivi (sijui jackpot bingo? Nimesahau jina)hv kwa nn juma huwa anajiita jukusi? kuna mtangazaji mmoja kipindi kidogo maarufu, alikuwa anaitwa jimmy kabwe, kumbe jina lake halisi ni jumanne kabwela.
mrangi hv jumanne kabwela (jimmy kabwe) yuko wap siku hz?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona unavyotamani wewe ndo ungekuwa Vanessa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shangazi yangu angekuambia mwanaume utapakwa majivu usoni...hapo ujue kamaliza
π π π π Shangazi ni BabaShangazi yangu angekuambia mwanaume utapakwa majivu usoni...hapo ujue kamaliza
Rotimi ni msanii wa kawaida sana pale US. Kama alivyokuwa bongo hapa kina banana zoro. Anashindwa hta na vedo mzee wa bitterWote wajinga ILA VEE MONEY SHE ALWAYS WANT STATUS SHE THINK SHE WAS BEYONCE MTU WA KUSHOBOKA JUX NAAMINI MPAKA KESHO DEMU ANAYEMKUBALI NI VEE MONEY ILA SHE WANT A STATUS JAMAA MWENYEWR SIO STAA KIVILE MAREKANI
Fanya comparison utuambie nani ana unafuuRotimi ni msanii wa kawaida sana pale US. Kama alivyokuwa bongo hapa kina banana zoro. Anashindwa hta na vedo mzee wa bitter
Mwenyekiti wa kijijiVannesa ni nani?
Samahani, unatumia simu gani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kijiji? Ok πMwenyekiti wa kijiji