King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Usione ukadhani.
Fitina titi la paka halifai kwa mtindi.
Why do rapper lie in 85% of they rhymes.
Fitina titi la paka halifai kwa mtindi.
Why do rapper lie in 85% of they rhymes.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa trampo boss sio hukuNdio nani huyo huko daslamu?
Jografia ya wapi same ikawa kaskazini? Na mwanza itakuwa wapi?Vanessa katoka kaskazini anajielewa
She is better when naturalVanessa alitumia akili ya kuzaliwa kujiondoa kwenye uswahili. Akajiweka sehemu inayoeleweka. Fikiria mpaka leo angekua bado anatembelea IST na kubebeshwa unga ingekuaje?
I dont want peace😅😅Naona unavyotamani wewe ndo ungekuwa Vanessa
AsanteNi kwa trampo boss sio huku
Banana Zoro wa kawaida? Vitoto vya 2000 mbona hamna adabuRotimi ni msanii wa kawaida sana pale US. Kama alivyokuwa bongo hapa kina banana zoro. Anashindwa hta na vedo mzee wa bitter
Banana zero msanii wa kawaida kabisa. Ni kama alivyohit Bob junior tu.. mafao yako hapo buzuruga hayajambo? Umerudi kulima na kusubir kufa sio?Banana Zoro wa kawaida? Vitoto vya 2000 mbona hamna adabu
Kiswaswaduu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Samahani, unatumia simu gani?
Emoji zako nimezifananisha na kiswaswadu changu kilikuwa kinaonesha kama emoji zakoKiswaswaduu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama sio TapatalkKiswaswaduu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiwooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Emoji zako nimezifananisha na kiswaswadu changu kilikuwa kinaonesha kama emoji zako
Tapatalk Yess [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama sio Tapatalk
Atapigwa tukio akili imkae sawa.Jux, you have done a mistake kwenda Nigeria for prixcy, dada hajui lingine zaidi ya show offs, you will go broke soon. After what you have been through I expected you to pick a responsible girl, sio hawa celebrity wannabe...
Sorry ivi wewe ni mwanamke au mwanaume?Tapatalk Yess [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ladies and gentlemenSorry ivi wewe ni mwanamke au mwanaume?