Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Ni vanessaVannesa ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vanessaVannesa ni nani?
Umeshauri familia yako umemaliza?Jux, you have done a mistake kwenda Nigeria for prixcy, dada hajui lingine zaidi ya show offs, you will go broke soon. After what you have been through I expected you to pick a responsible girl, sio hawa celebrity wannabe...
Chukua time huko, unajuaje sijashauri familia yangu?! Mimi ndio nimeshatoa yangu kama wewe ulivyotoa yako...tusipangiane cha kuandika humu...hunilipii bandoUmeshauri familia yako umemaliza?
Punguzeni uchawi wa nafsi kama vile watu mnakaa nao, binti ni influencer among other things ulitaka aweje mama jux?
Let them enjoy the moment, yakiwashinda si basi.... we live once and he is a grown up man to know what he wants. Kashadate sana sidhani kama ana ulimbukeni wa K kihivyo sababu kashakua na wanawake wazuri kushinda huyo.
Na ikitokea amego broke kwaajili ya mapenzi basi atakua KUBWA JINGA
Otherwise utakua mtu wa maana ukiwatakia heri au ukipita kimya kimya kuliko kuwa mpiga ramli wa familia za watu.
Usinipangie cha kujibu... ukiandika utajibiwa as it fits...Chukua time huko, unajuaje sijashauri familia yangu?! Mimi ndio nimeshatoa yangu kama wewe ulivyotoa yako...tusipangiane cha kuandika humu...hunilipii bando
Na mimi ndio nishaandika hivyo...hupendi tapika, usinipangie cha kuandika humu...niwatakie kheri ukiwa km nani uniambie hivyo?!Usinipangie cha kujibu... ukiandika utajibiwa as it fits...
Acheni kujifanya majasiri nyuma ya keyboard, kutaneni live mzichape shenzy.Na mimi ndio nishaandika hivyo...hupendi tapika, usinipangie cha kuandika humu...niwatakie kheri ukiwa km nani uniambie hivyo?!
Uzwazwa ni kujifanya kutoa a very personal comment kwa watu usiowajua.... Huna akili binti wa watu huishi nae na huyo jux tunamuona mitandaoni....Na mimi ndio nishaandika hivyo...hupendi tapika, usinipangie cha kuandika humu...niwatakie kheri ukiwa km nani uniambie hivyo?!
Ninazo zotee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sorry ivi wewe ni mwanamke au mwanaume?
Sio Gentleman n ladies? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ladies and gentlemen
😅😅😅Sio Gentleman n ladies? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au sio.Hakuna Mpare falla, kaskazini wanatoka watu waliotumwa kuja kutafuta mapeneee.
[emoji482][emoji482] kwa Vee Money!!
Basi hapo roho kwatuuu, mxxxxxiiiiieeeeew.[emoji28][emoji28][emoji28]
Ndiwoo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au sio.
Mate yananitoka😅Basi hapo roho kwatuuu, mxxxxxiiiiieeeeew.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mali Safi popo?Jux kaoa mali safi mtoa mada.....
Ujinga ni kuona mtu waliyeachana bila vita miaka 7 iliyopita bado anainfluence kwa mtu mzima