Vanessa bila kujiondoa kwa Jux angechunda!

Vanessa bila kujiondoa kwa Jux angechunda!

Nasikia Mzee wa "Utaniua" pipe range yake haifungui kokivzuri
Kuliko kukoseana heshima hivi ni kheri ukaenda kumpa weKUNDU wa Msimbazi halafu uje ulete mrejesho, vinginevyo unakua hujamtendea haki.
 
Mimi niko ughaibuni kwa miaka mingi na nina familia huku. I can say I'm happy with my life, lakini kuna kipindi, sana sana siku hizi, namkumbuka sana Hadija wangu wa Ilala.
Nilimwacha Bongo sasa hivi kaolewa na ana watoto wawili na anaonekana kuenjoy life. Sometimes bad timing na harakati za kimaisha ndio sababu inayofanya iwe hivi.
Nataka kusema mambo ya Jux na Vannesa tuwaachie wenyewe tusijifanye tunawajua sana kwa kuwaangalia kwenye mitandao.
 
Watu wa dar mnamattzo kwaiyo mnazani wote tunawajua hao watu wenu
Ebu tupe maelezo vzr hao ni kina nani na wamefanya nn
 
Back
Top Bottom