Ulitakaje?Mali Safi popo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitakaje?Mali Safi popo?
Mzazi Mwenza wa 2pac.Ndio nani huyo huko daslamu?
We utakua shabiki wa Nas B.Banana zero msanii wa kawaida kabisa. Ni kama alivyohit Bob junior tu.. mafao yako hapo buzuruga hayajambo? Umerudi kulima na kusubir kufa sio?
Kuliko kukoseana heshima hivi ni kheri ukaenda kumpa weKUNDU wa Msimbazi halafu uje ulete mrejesho, vinginevyo unakua hujamtendea haki.Nasikia Mzee wa "Utaniua" pipe range yake haifungui kokivzuri
KumbeMzazi Mwenza wa 2pac.
Kwendraaah [emoji23][emoji23][emoji23]Mate yananitoka[emoji28]
Mambo yake aachiwe mwenyewe...
Ukishakuwa celeb mambo Yako hakuna kuachiwa mwenyewe loMambo yake aachiwe mwenyewe...
Ngoja nimuulize mdogo wake...Ukishakuwa celeb mambo Yako hakuna kuachiwa mwenyewe lo
Hata usipomuuliza ukweli ndohuoNgoja nimuulize mdogo wake...
Yaani Banana umemchukuliaje?Rotimi ni msanii wa kawaida sana pale US. Kama alivyokuwa bongo hapa kina banana zoro. Anashindwa hta na vedo mzee wa bitter
Emu nikumbushe😆😆😆
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikukumbushi ila nakustua. LolEmu nikumbushe[emoji38][emoji38][emoji38]
😅😅😅🙌🙌🙌[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikukumbushi ila nakustua. Lol
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Hujambo lakini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119]
Nipo salama sijui wewe