Vanessa Mdee alikuwa kipanga wa hatari shuleni. Ni kundi moja na Jokate


Hivi mwenye Div 2.19 akapata 4.4GPA akawa lecturer

Halafu mwenye 1.10 akapata 3.5GPA

YUPI NI KIPANGA??
 
Chai
 
Yaani hii nchi,,, kwahiyo II-19 ndo kipanga?
 
Mkuu.... kipanga????Nimekuja fasta nikitegemea kuona list ya masela waliopona.Anyway Hesabu Bado ni tatizo Kwa mtoto wa kike sijui kwann wakati mwanamke ni kiumbe mtunza kumbukumbu hatari Duniani,well serikali imelala.
Math requires outstanding logical mind ambayo ke wengi hawajajaliwa kimkakati[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…