Mkuu Moyo Mashine ni wimbo mzuri sana sana, Ila "Aje" ni Balaa Zaidi .Kitendo cha moyo mashine kukosa tuzo kimenifanya niamini wapenzi wa muziki wapo kama wanachama wa vyama vya siasa..hata kikisimamisha mgombea wa hovyo wao watampa kura tu na kumuacha mtu bora zaidi!
This time Vanessa kazidiwa hata na Akothee from KENYA. Apunguze U BeyonceVideo za nyimbo za Vanessa mdee kwa sasa ni nzuri zaidi. Na pia uwezo wake wa kupafom jukwaani umekuwa mkubwa na unavutia.
-Yemi alade akipata msanii bora Africa(KE)
-Tiwa savage akipata Africa magharib
-Vanessa Mdee atapata Africa Mashariki
Well saidUkiamua watu wapige kura hilo suala halikwepeki!Iko hivyo!
Ni kama ccm,kuna watu wanaipigia kura kwa mapenzi ya Nyerere mpaka leo!
Vanessa atapta tuzo za nje ila za ndani amuachie jide, ubeyonce unamponza, ndi ndi ndi ilifanya vzur kuliko wimbo was msanii mwingine wa kike bongoJayDee ana mashabiki wengi kuliko vanesaa
Jay Dee wimbo wake wa ndindindi ni mzuri kuliko alio toa Vanessa
Jay Dee Jana alitunzwa
Vanesaa hakutunzwa
Jay Dee alipata shangwe
Vanessa aliishia kukodolewa tu
Ubeyonce wa vanessa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]This time Vanessa kazidiwa hata na Akothee from KENYA. Apunguze U Beyonce
Vanessa atapta tuzo za nje ila za ndani amuachie jide, ubeyonce unamponza, ndi ndi ndi ilifanya vzur kuliko wimbo was msanii mwingine wa kike bongo
Na haukupigwa na clouds but ime hit vbayaaa, jide so mtu wa sport sportJibu ni moja tu ndi ndi ndi wimbo wa taifa...
ni kweli mkuu hata mimi nimekasirika sana. Kwanin Vanesa hajachukua tuzo? Sikupiga kura wala sikujishughulisha na upigaji ila lazima nilalamike maana inaniuma sana, kwanini Vanesa hajashinda?Eatv wameshaanza kuboronga hatua ya kwanza tu ya award wameonyesha upungufu, mdee alistahili na sio Jide.
Ila mwisho wa siku niwe mkweli, binafsi sikupiga kura na kuna uwezekano wengi hawakupiga kura ila tunalalamika.
Vee mwenyewe anamkubali jideAlishasema jide ni role modal wake.
Apo umenenaJayDee ana mashabiki wengi kuliko vanesaa
Jay Dee wimbo wake wa ndindindi ni mzuri kuliko alio toa Vanessa
Jay Dee Jana alitunzwa
Vanesaa hakutunzwa
Jay Dee alipata shangwe
Vanessa aliishia kukodolewa tu
Msanii wenu alipokuwa anashinda tuzo za KTMA mlikuwa mnashangilia kuwa anapendwa na watu wamempigia kura, ila hizi mnaanza zengwe.Nimewapa ushauri wa bure, mzungumze na mawingu waanzishe tuzo zitakazo wafurahisha, kwani hizi mmeonyesha kila dalili ya kuzikataa.Muache wengine walio na imani na mchakato waendelee kujipendekeza.Walio shinda
Tuzo ziko saba mtu ana shinda 4 sasa hapo hakuna maana.
hata hizo jide kabeba sana fumua kumbukumbu utajijibu.Miaka michache ijayo Vannessa Mdee atakuwa ndio msanii bora wa kike Afrika mashariki na kati kwa zaidi ya miaka mi5 mpaka 10 mfululizo.
-Atapata tunzo nyingi sana list sawa na waimbaji bora wa kike Africa nzima.
Sawa..Kama wewe kwa Diamond, sasa hapo hiyo si ngoma draw, unalalamika nini?
vigezo ni kura babaa no more drama...Ntatoa comment yangu waandaaji wakituletea vigezo vilivyotumika kumpata mshindi, kinyume n hapo n comment basing on personal emotions.....
Weeee umeifiatilia vzr Naamka tena tour aliyofanya karib nchi mzima na kiingilio ni 50 kwa 20 na nyomi za hatar tuache masihara Jide yupo good she deserve it.Sijawahi ona Jide amesimama yeye kama yeye, kuna ile show alikuwa na beef kali na kina Ruge, huku upande wa kina Ruge alisimama 'Mwanafatuma', huku kwa Jide alialika magwiji kina Sugu, Nature wampe tafu. Pia hii show ya juzi Mlimani City alikuwa na kina Kiba
Ww kweli ndo kilaza kabisa tuzo zenyewe ata hapa mbagara hazijulikani labda cjui unamanisha kijiji gani
Vanessa ninayemjua ni Vanessa Williams... huyu Mdee anaimba ngojera nini!? Ndo namsikia leo ati!!!Ze ndi ndi ndi
ilikua nyimbo ya taifa humu jamvini ilijadiliwa miezi mitatu
vanessa kwa nyimbo ipi ?
nobody ft KoZe ndi ndi ndi
ilikua nyimbo ya taifa humu jamvini ilijadiliwa miezi mitatu
vanessa kwa nyimbo ipi ?
vanessa hajui kupafomuJayDee ana mashabiki wengi kuliko vanesaa
Jay Dee wimbo wake wa ndindindi ni mzuri kuliko alio toa Vanessa
Jay Dee Jana alitunzwa
Vanesaa hakutunzwa
Jay Dee alipata shangwe
Vanessa aliishia kukodolewa tu